Ushauri wa bure kwa chadema/makamanda

UNO

Senior Member
Feb 3, 2012
197
19
Siyo siri kuwa Mwenyekiti wa CDM Mh. Freeman Mbowe ameweza kuongoza chama kwa uweledi mkubwa hasa ukizingatia kwamba chama kina vijana wengi katika uongozi ambao wana mitazamo tofauti na ambao wangependa mambo yafanyike kwa kasi kwa kadri wanavyofikiri. Tunampongeza kwa hilo. Hata hivyo ningependa kutoa ushauri kidogo. Mnaweza kuuchukua au msiuchukue. Ni vizuri kuelewa kwamba watu wanatofautiana ki mtazamo na si lazima au siyo rahisi tukawa na fikra sawa. Ni muhimu basi, kama chama cha demokrasia mkavumiliana au kuheshimu mawazo ambayo ni tofauti na ya kwako. Pia, ningependa kusema kuwa, hakuna mtu ni "perfect". Kila mtu ana madhaifu (weaknesses) na mazuri (strengths) yake. Ni vizuri kulenga kwenye mazuri na kusahau madhaifu, kwa hivyo mtaweza kujenga umoja na chama chenye nguvu. Ninaamini kwamba; kila mtu amekuwa na mchango kwa hapo chama kilipofika. Kwa hivyo basi lenga kwenye mazuri ya kila mtu mtafika mbali. Kama kuna kukosoana ifanyike kwa hekima. Na nina amini viongozi wa juu wa CDM wana hekima kubwa. Hawakurupuki.

Nawaasa vilevile wale walio na mitazamo tofauti. Ni vizuri kila mara mfikie "win -win situation". Badala ya upande mmoja kupoteza ("win - loose situation"). Na kama kila mara wewe utajiona au utajikuta uko tofauti na wenzako kimsimambo, lazima kutakuwa na tatizo. Tafuta njia ya kurekebisha. Mimi naamini mnahitajiana wote na kila mtu ana mchango.

Nawakilisha.
 
Nimekusikia
Ila sijajua unalenga kitu gani hasa, ungetoa mfano labda ningeelewa zaidi.

Ila kumbuka, masuluhisho ya aina yote ni masuluhisho
Unaweza chagua win-win situation au win-lose situation kutegemeana na tukio hilo.

Kuna saa mapungufu ya mtu yanakuwa makubwa sana ukilinganisha na mazuri yake, hapo lazima niangalie win-lose situation.

Hebu funguka zaidi basi. . .
 
Mkuu unamaanisha nini mbona hueleweki? Kwani kuna kutosikilizana au kuheshimiana ndani ya chama? Funguka basi!
 
unawakilisha au unawasilisha?? Hueleweki! japo kwa maneno yako, tunambua kiwango cha ufahamu wako. am sorry!
 
Nimekusikia
Ila sijajua unalenga kitu gani hasa, ungetoa mfano labda ningeelewa zaidi.

Ila kumbuka, masuluhisho ya aina yote ni masuluhisho
Unaweza chagua win-win situation au win-lose situation kutegemeana na tukio hilo.

Kuna saa mapungufu ya mtu yanakuwa makubwa sana ukilinganisha na mazuri yake, hapo lazima niangalie win-lose situation.

Hebu funguka zaidi basi. . .

Nakupata yote hayo yapimwe
 
Mkuu unamaanisha nini mbona hueleweki? Kwani kuna kutosikilizana au kuheshimiana ndani ya chama? Funguka basi!

Haiwezekani huelewi. Chama chochote (including CDM) kilicho na watu wenye fikra pevu, walio na mitazamo tofauti jinsi ya kufikia uamuzi au kutatua matatizo kuna wakati watatofautiana. That's my point.
 
Siyo siri kuwa Mwenyekiti wa CDM Mh. Freeman Mbowe ameweza kuongoza chama kwa uweledi mkubwa hasa ukizingatia kwamba chama kina vijana wengi katika uongozi ambao wana mitazamo tofauti na ambao wangependa mambo yafanyike kwa kasi kwa kadri wanavyofikiri. Tunampongeza kwa hilo. Hata hivyo ningependa kutoa ushauri kidogo. Mnaweza kuuchukua au msiuchukue. Ni vizuri kuelewa kwamba watu wanatofautiana ki mtazamo na si lazima au siyo rahisi tukawa na fikra sawa. Ni muhimu basi, kama chama cha demokrasia mkavumiliana au kuheshimu mawazo ambayo ni tofauti na ya kwako. Pia, ningependa kusema kuwa, hakuna mtu ni "perfect". Kila mtu ana madhaifu (weaknesses) na mazuri (strengths) yake. Ni vizuri kulenga kwenye mazuri na kusahau madhaifu, kwa hivyo mtaweza kujenga umoja na chama chenye nguvu. Ninaamini kwamba; kila mtu amekuwa na mchango kwa hapo chama kilipofika. Kwa hivyo basi lenga kwenye mazuri ya kila mtu mtafika mbali. Kama kuna kukosoana ifanyike kwa hekima. Na nina amini viongozi wa juu wa CDM wana hekima kubwa. Hawakurupuki.

Nawaasa vilevile wale walio na mitazamo tofauti. Ni vizuri kila mara mfikie "win -win situation". Badala ya upande mmoja kupoteza ("win - loose situation"). Na kama kila mara wewe utajiona au utajikuta uko tofauti na wenzako kimsimambo, lazima kutakuwa na tatizo. Tafuta njia ya kurekebisha. Mimi naamini mnahitajiana wote na kila mtu ana mchango.

Nawakilisha.

Hapokwenye red pamenivuta hisia...kuna wing halafu umoja.Kipi kimekuponyoka?Kama umoja basi ni wazi una mlenga Mbowe.Buwe ni mtu mmoja napenda sana watu open minded tangu akiwa mtoto.Ndio maana watu waliokuwa karibu naye na wenye akili walifanikiwa.Ila wajinga wajinga wanaangalia pafupi na kujikita kubomoa hakuwafumilia sana.
 
si useme tu umetumwa na zzk
Siyo siri kuwa Mwenyekiti wa CDM Mh. Freeman Mbowe ameweza kuongoza chama kwa uweledi mkubwa hasa ukizingatia kwamba chama kina vijana wengi katika uongozi ambao wana mitazamo tofauti na ambao wangependa mambo yafanyike kwa kasi kwa kadri wanavyofikiri. Tunampongeza kwa hilo. Hata hivyo ningependa kutoa ushauri kidogo. Mnaweza kuuchukua au msiuchukue. Ni vizuri kuelewa kwamba watu wanatofautiana ki mtazamo na si lazima au siyo rahisi tukawa na fikra sawa. Ni muhimu basi, kama chama cha demokrasia mkavumiliana au kuheshimu mawazo ambayo ni tofauti na ya kwako. Pia, ningependa kusema kuwa, hakuna mtu ni "perfect". Kila mtu ana madhaifu (weaknesses) na mazuri (strengths) yake. Ni vizuri kulenga kwenye mazuri na kusahau madhaifu, kwa hivyo mtaweza kujenga umoja na chama chenye nguvu. Ninaamini kwamba; kila mtu amekuwa na mchango kwa hapo chama kilipofika. Kwa hivyo basi lenga kwenye mazuri ya kila mtu mtafika mbali. Kama kuna kukosoana ifanyike kwa hekima. Na nina amini viongozi wa juu wa CDM wana hekima kubwa. Hawakurupuki.

Nawaasa vilevile wale walio na mitazamo tofauti. Ni vizuri kila mara mfikie "win -win situation". Badala ya upande mmoja kupoteza ("win - loose situation"). Na kama kila mara wewe utajiona au utajikuta uko tofauti na wenzako kimsimambo, lazima kutakuwa na tatizo. Tafuta njia ya kurekebisha. Mimi naamini mnahitajiana wote na kila mtu ana mchango.

Nawakilisha.
 
Haiwezekani huelewi. Chama chochote (including CDM) kilicho na watu wenye fikra pevu, walio na mitazamo tofauti jinsi ya kufikia uamuzi au kutatua matatizo kuna wakati watatofautiana. That's my point.
Kwa hiyo?!
 
nadhani kuna kiongozi anajirudi anaona keshatengwa kutokana na misimamo yake isiyo ya kichama na sasa anatumia watu, cha muhimu ni yeye kubadilika na kuomba radhi na kisha kushiriki kwenye kukijenga chama na wala sio kuleta hoja ya kulialia mbele za watu
 
This one sounds like Zitto!!

Anayajua madhambi yake kwa CDM, kwa hiyo anajaribu kujitetea indirectly!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom