Joel Suta
Member
- Jan 3, 2016
- 36
- 14
Wadau kheri ya mwaka mpya (2021)
Mbele yenu naomba USHAURI juu ya Biashara mbadala
Aidha baada ya kumaliza Chuo 2017 nilipenda sana kufanya shughuli za stationery na nilianza kufanya hata wakati nasoma Chuo...hivyo kwa wakati huo niliandaa Vifaa kidogo na baada ya kumaliza nilianza na shughuli hiyo ilikuwa Ngumu sana Kutengeneza jina lakini namshukuru Mungu mpaka sasa napata rizki kidogo na maisha yanaenda ingawaje outcome yake si ile niliyotegemea.
Hivyo mbele yenu naomba msaada wa mawazo ni aina gani ya Biashara mbadala naweza Fanya pia kuongeza kipato angalau nifanye kitu cha kimaendeleo.
Nipo Dodoma-Bahi, balance ya mtaji laki 6
CHANGAMOTO:- sipendelei kufanya zile biashara za kila siku kwenda kununua ndo uuze (Genge, kioski, nk)
Nawasilisha kwenu wadau wa JF
Karibu
Mbele yenu naomba USHAURI juu ya Biashara mbadala
Aidha baada ya kumaliza Chuo 2017 nilipenda sana kufanya shughuli za stationery na nilianza kufanya hata wakati nasoma Chuo...hivyo kwa wakati huo niliandaa Vifaa kidogo na baada ya kumaliza nilianza na shughuli hiyo ilikuwa Ngumu sana Kutengeneza jina lakini namshukuru Mungu mpaka sasa napata rizki kidogo na maisha yanaenda ingawaje outcome yake si ile niliyotegemea.
Hivyo mbele yenu naomba msaada wa mawazo ni aina gani ya Biashara mbadala naweza Fanya pia kuongeza kipato angalau nifanye kitu cha kimaendeleo.
Nipo Dodoma-Bahi, balance ya mtaji laki 6
CHANGAMOTO:- sipendelei kufanya zile biashara za kila siku kwenda kununua ndo uuze (Genge, kioski, nk)
Nawasilisha kwenu wadau wa JF
Karibu