Ushauri: VETA au kurudia kidato cha nne?

Ushauri: VETA au kurudia kidato cha nne?

Veta ndio mpango mzima, Achana na elimu ya nadharia
 
Salaam wa ndg!

Nina kijana wangu wa kiume amemaliza kidato cha mwaka huu ila amepata daraja la 4 points 27, katika shule ya kata kunduchi beach.

kwa kifupi alikuwa anamaendeleo mazuri akiwa shule ya msingi na hadi alipofika kidato cha 2 , kuanzia hapo maendeleo yake yalishuka sana na akawa na utovu wa nidhamu shule na kimasoma ila akiwa nyumbani ni mtoto mtaratibu sana na nidhamu ya hali ya juu.

Sasa ndg zangu wana jamvi naombeni ushauri wenu kwa kijana wangu nimpeleke VETA au arudie kidato cha 4 ili kwamba apate alama za kumpeleka O'LEVEL?

Nimemuuliza kwa jinsi matokeo yalivyokuwa mabaya atafanyaje kujiendeleza? AKAJIBU eti anataka kuwa Polisi.

Kama upo sawa mpeleke course relevant na masomo aliyoshinda yaani according to arts/science na fani anayotaka mfano certificate in Business Administration, certificate in law(kama ana credit kwenye Engish), certificate in Information Technology na kadhalika na akishinda kwa wastani ya B then aende Diploma course then degree course, kazi kwako mzazi, elimu ndiyo kila kitu na adui yako mpe chakula na umnjime ELIMU. Make sure unampeleka vyuo vinavyotambuliwa na NACTE(NACTE approved colleges for certificate and diploma).
 
Mpeleke VETA.

Salaam wa ndg!

Nina kijana wangu wa kiume amemaliza kidato cha mwaka huu ila amepata daraja la 4 points 27, katika shule ya kata kunduchi beach.

kwa kifupi alikuwa anamaendeleo mazuri akiwa shule ya msingi na hadi alipofika kidato cha 2 , kuanzia hapo maendeleo yake yalishuka sana na akawa na utovu wa nidhamu shule na kimasoma ila akiwa nyumbani ni mtoto mtaratibu sana na nidhamu ya hali ya juu.

Sasa ndg zangu wana jamvi naombeni ushauri wenu kwa kijana wangu nimpeleke VETA au arudie kidato cha 4 ili kwamba apate alama za kumpeleka O'LEVEL?

Nimemuuliza kwa jinsi matokeo yalivyokuwa mabaya atafanyaje kujiendeleza? AKAJIBU eti anataka kuwa Polisi.
 
Duuu nyie mnafikiria Veta ndio kimbilio la walioshindwa Veta kwa sasa haifundishi ufundi pekee yake kuna masomo mengine pia kama BASIC MATHEMATICS, ENGINEERING SCIENCE, TECHNICAL DRAWING,COMPUTER APPLICATION, LIFE SKILLS,ENTREPRENEURSHIP,ENGLISH & COMMUNICATION SKILLS,
Kwahyo kama unataka kumpeleka veta pia lazima akajitume huko sio lelemama
 
Ivi anaekwenda VETA! na anaeanza certificate wanakua level Sawa?
 
Duuu nyie mnafikiria Veta ndio kimbilio la walioshindwa Veta kwa sasa haifundishi ufundi pekee yake kuna masomo mengine pia kama BASIC MATHEMATICS, ENGINEERING SCIENCE, TECHNICAL DRAWING,COMPUTER APPLICATION, LIFE SKILLS,ENTREPRENEURSHIP,ENGLISH & COMMUNICATION SKILLS,
Kwahyo kama unataka kumpeleka veta pia lazima akajitume huko sio lelemama
Swali ilo mkuu
 
Yan anae anza kusoma veta na Yule anaeanza certificate wanakua level Sawa
Kwa mfumo uliopo saizi veta ukimaliza level two na ukapasi vizuri masomo yote unaweza kujiunga na vyuo vikuu vya ufundi kama vile MUST MBEYA KWA AJILI YA KUSOMEA DIPLOMA ila lazima usome bridging courses miezi miwili lakini ukimaliza level three unaenda kujoin moja kwa moja bila kupitia bridging courses.
 
Kwa mfumo uliopo saizi veta ukimaliza level two na ukapasi vizuri masomo yote unaweza kujiunga na vyuo vikuu vya ufundi kama vile MUST MBEYA KWA AJILI YA KUSOMEA DIPLOMA ila lazima usome bridging courses miezi miwili lakini ukimaliza level three unaenda kujoin moja kwa moja bila kupitia bridging courses.
Mkuu hata wadarasa lasaba anaweza fanya hivyo?
 
No awe anacheti cha form four tu angalau D nne
 
VETA akapige IT & Computer Science, usanifu majengo, usomaji & upimaji ramani za nyumba, umeme, mechanics, ufundi bomba nk.
 
Salaam wa ndg!

Nina kijana wangu wa kiume amemaliza kidato cha mwaka huu ila amepata daraja la 4 points 27, katika shule ya kata kunduchi beach.

kwa kifupi alikuwa anamaendeleo mazuri akiwa shule ya msingi na hadi alipofika kidato cha 2 , kuanzia hapo maendeleo yake yalishuka sana na akawa na utovu wa nidhamu shule na kimasoma ila akiwa nyumbani ni mtoto mtaratibu sana na nidhamu ya hali ya juu.

Sasa ndg zangu wana jamvi naombeni ushauri wenu kwa kijana wangu nimpeleke VETA au arudie kidato cha 4 ili kwamba apate alama za kumpeleka O'LEVEL?

Nimemuuliza kwa jinsi matokeo yalivyokuwa mabaya atafanyaje kujiendeleza? AKAJIBU eti anataka kuwa Polisi.
Kimsingi huyo kumwambia kurist ni kupoteza muda tu kama alishakwambia kwenda polisi unaweza kumpeleka veta kwanza akasomea fani kama ya magari,umeme nk. af atakapomaliza ndo lifuate hilo la kwenda polisi.
 
Back
Top Bottom