nenda hospital na acha zinaaJamani naomba ushauri, nikisimamisha uume haya kidogo tu vinatoka vi ute ute kama maji mazito kama matone, nifanyaje kuzuia hiyo hali?
Halafu azuma si ndio?Anza na DOx
Eeh atapanda km haitomsaidiaHalafu azuma si ndio?
NakaziaKama ni ute kama maji haina shida. Huo huwa ni utangulizi kabla ya goli na hutoka kusafisha njia.
Acha kutazama porn na kuwaza zinaa muda wote.