habar wanajf.natumain u wazima wa afya njema
mm ni kijana mwenye umr wa miaka 23 tatizo langu kubwa nikutokana na tabia ya kudindisha ovyo ovyo paspo kujali mazingira na sasa yapata miez 3 kuonekana kwa hari hii
Je, huu ni ungonjwa?
je nifanyaje ili kuiondoa hii hari?
mwenye upeo kuhusu tabia hii.msaada wanajf.
Nawasilisha asante!
habar wanajf.natumain u wazima wa afya njema
mm ni kijana mwenye umr wa miaka 23 tatizo langu kubwa nikutokana na tabia ya kudindisha ovyo ovyo paspo kujali mazingira na sasa yapata miez 3 kuonekana kwa hari hii
Je, huu ni ungonjwa?
je nifanyaje ili kuiondoa hii hari?
mwenye upeo kuhusu tabia hii.msaada wanajf.
Nawasilisha asante!
Mmmmh kumbe tuko wengi wenye hii kitu.
Ukitaka Uume wako ulale fanya hivi kula kidogo chumvi mdomoni kisha kwenye (nguyu) fundo 2 za miguuni mwako jipige mpaka usikie maumivu uume wako utalala. Mkuu chrisno Jaribu kisha utanipa feedback.Habar wanaJF
Natumain mu wazima wa afya njema
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, tatizo langu kubwa ni kutokana na tabia ya kudindisha ovyo ovyo pasipo kujali mazingira na sasa yapata miezi 3 kuonekana kwa hali hii.
Je, huu ni ugonjwa? Je nifanyaje ili kuiondoa hii hali? Mwenye upeo kuhusu tabia hii. Msaada wanaJF.
Nawasilisha asante!