Habar wanaJF
Natumain mu wazima wa afya njema
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, tatizo langu kubwa ni kutokana na tabia ya kudindisha ovyo ovyo pasipo kujali mazingira na sasa yapata miezi 3 kuonekana kwa hali hii.
Je, huu ni ugonjwa? Je nifanyaje ili kuiondoa hii hali? Mwenye upeo kuhusu tabia hii. Msaada wanaJF.
Nawasilisha asante!
Natumain mu wazima wa afya njema
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, tatizo langu kubwa ni kutokana na tabia ya kudindisha ovyo ovyo pasipo kujali mazingira na sasa yapata miezi 3 kuonekana kwa hali hii.
Je, huu ni ugonjwa? Je nifanyaje ili kuiondoa hii hali? Mwenye upeo kuhusu tabia hii. Msaada wanaJF.
Nawasilisha asante!