mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,712
Naamini wapo watakao niunga mkono na wapo watakao nipinga.Kutoka na utendaji usioridhisha katika ofisi nyingi za Serikali kwa Watumishi wa Umma nashauri ni vema Serikali ikaanzisha Utumishi wa Mikataba kwa watumishi wake kwa kupangiana Malengo ya kila Miezi 4 kama mwaka wa Serikali ulivyo.
Mtumishi anaposhindwa kuyatimiza atakuwa hastahiri kuendelea na Utumishi.Pia nashauri Mkataba uwe wa miaka 5 kwa vipindi viwili kwa maana ya miaka 10 analipwa Mafao yake yote.Utendaji wa Ofisi na Mashirika yasiyo ya Serikali unakuwa na Mafanikio kutokana Mtumishi kujua nipo kwa mkataba nisipofanya vizuri mkataba unasitishwa lakini Serikali watumishi wanafanyia kazi kwa mazoea na wanasubiri miaka 55 au 60 wastaafu.
Faida ya Mikataba ni kuwa Watumishi watakuwa wanapishana ktk ajira ndani ya miaka 5 au 10 kuliko sasa mpaka miaka 55 au 60.
Mtumishi anaposhindwa kuyatimiza atakuwa hastahiri kuendelea na Utumishi.Pia nashauri Mkataba uwe wa miaka 5 kwa vipindi viwili kwa maana ya miaka 10 analipwa Mafao yake yote.Utendaji wa Ofisi na Mashirika yasiyo ya Serikali unakuwa na Mafanikio kutokana Mtumishi kujua nipo kwa mkataba nisipofanya vizuri mkataba unasitishwa lakini Serikali watumishi wanafanyia kazi kwa mazoea na wanasubiri miaka 55 au 60 wastaafu.
Faida ya Mikataba ni kuwa Watumishi watakuwa wanapishana ktk ajira ndani ya miaka 5 au 10 kuliko sasa mpaka miaka 55 au 60.