Ana mtoto wa miezi miwili, sasa leo kafanya mapenz na mke wake na kamwagia ndani. Hivi ataweza kupata mimba? Na je akitumia P2 kuzuia mimba haitakuwa na madhara kwa mwanaye?
Kama huyo mtoto ananyosha maziwa ya mama muda wote bila kupewa chochote cha ziada mimba haiwezi ingia sababu kunyonyesha mtoto miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote ni njia ya uzazi wa mpango