Ushauri unahitajika

Ushauri unahitajika

Mianzin Arusha

Senior Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
132
Reaction score
141
Jamani tumsaidie mwenzetu.

Ana mtoto wa miezi miwili, sasa leo kafanya mapenz na mke wake na kamwagia ndani. Hivi ataweza kupata mimba? Na je akitumia P2 kuzuia mimba haitakuwa na madhara kwa mwanaye?
 
Jamn tumsaidie mwenzetu anamtoto wa miezi miwili sasa leo kafanya mapenz na MKE wake na kamwagia ndani hiv ataweza kupata mimba?*

Na je akitumia p2 kuzuia mimba haitakuwa na madhara kwa mwanaye.
Mianzin Arusha hoyeeee

Mkuu itikia hoyeeee


Leo mwagia ndan tena, za leo mpya zitaharb za jana kama zilikuwa zimeanza kutengeneza katoto
 
Huyo jamaa ni wewe.. punguza kula karanga mbichi yaani miezi miwili ile sehemu haijapoa fresh tayar kijana wa ovyo unatembeza moto.
 
Huyo mwenzako ni yupi kati yenu hapo kwenye avatar ili upewe ushauri muruq
 
Mwenzetu gani wakati niwewe mwenyewe? Wakati unaloweka hukuomba ushauri
 
Jamn tumsaidie mwenzetu anamtoto wa miezi miwili sasa leo kafanya mapenz na MKE wake na kamwagia ndani hiv ataweza kupata mimba?*

Na je akitumia p2 kuzuia mimba haitakuwa na madhara kwa mwanaye.
Toka ajifungue ameshapata hedhi? kama amepata na yupo kwenye siku za hatari anaweza shika mimba

Kwa kawaida mama akitoka kujifungua mfumo wa uzazi na hormone zinaludi kwenye hali yake ya kawaida kwa muda wa wiki 6 mpaka 8
 
Kama huyo mtoto ananyosha maziwa ya mama muda wote bila kupewa chochote cha ziada mimba haiwezi ingia sababu kunyonyesha mtoto miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote ni njia ya uzazi wa mpango
 
Back
Top Bottom