Namshauri waungane wa form business partnership watatoboa unga unalipaniko na rafiki yangu wa kike ameolewa na ndoa yake ina mwaka amegundua mumewe anauza unga
Anaomba Ushauri wana mtoto mmoja mume anataka wazae watoto wengine haraka mke kwa hofu ya kazi ya jamaa amegoma kuzaa
niko na rafiki yangu wa kike ameolewa na ndoa yake ina mwaka amegundua mumewe anauza unga
Anaomba Ushauri wana mtoto mmoja mume anataka wazae watoto wengine haraka mke kwa hofu ya kazi ya jamaa amegoma kuzaa
Nenda Polisi ukaombe ushauri, ila angalia usipigwe mpaka ukachakaaniko na rafiki yangu wa kike ameolewa na ndoa yake ina mwaka amegundua mumewe anauza unga
Anaomba Ushauri wana mtoto mmoja mume anataka wazae watoto wengine haraka mke kwa hofu ya kazi ya jamaa amegoma kuzaa
Kuwa na misingi isiyokubalika katika dini ni miongoni mwa sababu zinazokubalika kwa mwanamke wa kiislam kutoa katika ndoa.
Mimi nahisi akae chini na mumewe na amueleze wazi kwamba amemjua ni muuza unga, hivyo aache hiyo biashara. Asaaa kheri mume anaweza akamuelewa wakaendelea na maisha mengine.
Ikiwa mume atakataa, namshauri ajiondoe kwenye hiyo ndoa haraka sana. Litakapokuja kubumburuka basi jamaa na mkewe na mtoto wao wataingia kwenye balaa kubwa sana.
Na wewe pia mtoa mada ndugu yangu nyakati zimebadilika. Angalia namna ya kuachana na hii ID maana wakikutafuta uisaidie jamhuri kuwaonyesha hugo rafiki ili wampate mumewe basi na wewe washakupotezea muda wako.
Ndoa inakuwa ipo kama kawaida, ni mume tu anabeba dhimma ya kuilisha na kuivisha familia yake vya haramu.Hivi kidini hi ndoa ipo kweli?? Si in Mana mume analeta maitaji yaliyotokana na Haram hii imekaaje kidini
ooh Sasa mbona umemshaur aachane na ndoa hiyo ikowa Allah anachukia talakaNdoa inakuwa ipo kama kawaida, ni mume tu anabeba dhimma ya kuilisha na kuivisha familia yake vya haramu.
Kuthibitisha hilo, atakapotubia na kurudi kwa mola wake hawatotakiwa kufunga ndoa tena.
Wallahu a'alam
Mwambie azae tu,akidakwa wewe so upo utamsaidia kulea au urafiki wenu ni kulana tu bila msaada?#mzee hofu kubwa alionayo ni kuhofia mumewe akishikwa huku ameachiwa watoto wengi anasema mmoja alienae hamshindi hata akiachwa leo