Ushauri unahitajika, nitaepukaje hili?

Ushauri unahitajika, nitaepukaje hili?

Kaka menakushauri Nyoa tu kabisaaa sehemzako za makalio kwani 0713yako naiona kabisaaa italiwa soon pia mkeo hukumkuta bikra so nayeye wanamfukua jamaazake wakitambo mwishowake Ni ukimwi na taabu kwa watotowenu Kwanini usitulie na mkeo? Pichu kabisa Wewe toa uvundowako hapa.

Unawaaka, wakati hata mada yenyewe hujailewa vizuri, cjasema natembea nae bali ilitokea bahati mbaya tuu na miaka minne tangu nimefanya nae mapenzi na sipendi nifanye tena hivyo na ndio mana niliweza kukwepa hilo kipindi chote kilichopita.
 
Sasa ushauri wanini kama ulimkwepa for 4 yrs,unasisimkaje kidume?nakuhusia stay away br utaliwa Shauriyako
 
Watu wengine bwana, sio kila mtu ajae huku amekuja kujisifu wengine yanawasibu kweli. Wengine huku wanajifanya wakaaaali kumbe ndio mahodari wa kutembea na wake na wachumba wa wenzao.
Nipeni ushuhuda mliyokutana nayo baada ya kufumaniwa au ndio mmeliwa t.i.g.o. ndio mana mmeshupalia na mm ntaliwa kama nyie. NGASHTUKA ndio mana nimekuja hapa.
 
Ni maoni yako ila sijasema km tunafanya ila ni siku ile tuu lkn kinachotokea tunapoonana ni kila mmoja kusisimka kimapenzi kwa hali ya juu sana, shida ndio ipo hapo,

Then epuka kuonana nae... Easy peasy.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mmh hama tu hapo kama unaweza. Hiyo misisimko yenu itawapeleka pabaya. Mlishaachana ya nini kutamaniana?? Mshindeni shetani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hahah,,kumbe siku zingne unatoaga ushauri, safii
 
Then epuka kuonana nae... Easy peasy.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Namuepuka sana mkuu ila mbaya hapa yeye kahamia karibu na home alafu huwa analazmisha tuwe tunaonana wkt nshamueleza sio vizuri kutokana na hali inayotukuta tukionana ila yeye hajali hilo anasema yupo tayari kwa lolote litakalojitokeza.
 
Namuepuka sana mkuu ila mbaya hapa yeye kahamia karibu na home alafu huwa analazmisha tuwe tunaonana wkt nshamueleza sio vizuri kutokana na hali inayotukuta tukionana ila yeye hajali hilo anasema yupo tayari kwa lolote litakalojitokeza.

Kwakuwa yupo tayari kwalolote basi hakupendi anakutafutia lolotelile ikiwa nawewe kufumuliwa nnyaa .
 
Natumaini umenielewa ni kuishiwa nguvu kwa namna gani sema tu unakwepa kunipa ushauri wa namna ya kuepuka hili.

ushauri gani kaka yangu wakati unacheza na moto,nyie subirieni kufumaniwa na kutolewa kwenye magazeti ya udaku,accept the reality kuwa huyo si wako tena,mtoe akilini,kaa nae mbali,muogope kama ukimwi,block namba zake kwenye simu yako
 
ushauri gani kaka yangu wakati unacheza na moto,nyie subirieni kufumaniwa na kutolewa kwenye magazeti ya udaku,accept the reality kuwa huyo si wako tena,mtoe akilini,kaa nae mbali,muogope kama ukimwi,block namba zake kwenye simu yako

Cpendi hayo ya udaku yanikute ndio mana nimekuja hapa mnisaidie, ndani ya miaka 8 tumeonana kwa vpindi vinne tofauti na nlikua najitahidi kumkwepa na hadi sasa na nlikua nabadili line sababu ya usumbufu wake. Kuhamia karibu na nnapoishi ndio tatizo limezidi
 
Usihame wala nini acha uwoga kukimbia mtaa kwasababu ya mwanamke tena wife wa mtu. We tulia hapo muelezane ukweli kwamba mtulie na ndoa zenu.
 
Usihame wala nini acha uwoga kukimbia mtaa kwasababu ya mwanamke tena wife wa mtu. We tulia hapo muelezane ukweli kwamba mtulie na ndoa zenu.

Mii huwa najitahd sana kumkwepa ila yeye ndio msumbufu balaa kila mara ananipigia na kunitumia sms hadi kero.
 
Huyu jamaa bado yupo humu jamani?kaka endelea kumpakua tu.
 
Cpendi hayo ya udaku yanikute ndio mana nimekuja hapa mnisaidie, ndani ya miaka 8 tumeonana kwa vpindi vinne tofauti na nlikua najitahidi kumkwepa na hadi sasa na nlikua nabadili line sababu ya usumbufu wake. Kuhamia karibu na nnapoishi ndio tatizo limezidi

na wewe hama
 
Pole broh kwa hayo, ckushangaai cauz naamin yanatokea ktk jamii, ila kama unataka shinda ilo jaribu muombe ushauri mme wake huyo dada, atakusaidia saaana
 
Pole broh kwa hayo, ckushangaai cauz naamin yanatokea ktk jamii, ila kama unataka shinda ilo jaribu muombe ushauri mme wake huyo dada, atakusaidia saaana

Ushauri huu mgumu kutekelezeka aisee, ntaanzaje!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom