Ushauri unahitajika, nitaepukaje hili?

Ushauri unahitajika, nitaepukaje hili?

hawa ndio wanatamani sketi za.shule, sijui kwa nini hawawashonei wake zao.

Mkuu km umesoma vizuri cjasema namtamani ila ni hali huwa inajitokeza yenyewe tuu na najaribu kupingana nayo sana ila kwa sasa nahisi kupata wakati mgumu sababu huyu mtu kahamia jirani na ninapoishi afu mbaya zaidi mumewe cmjui hata kwa sura ila yeye ananifaham vizuri sana hadi ninapofanyia kazi.
 
kwel kila siku kuna jipya mmu...wewe umeoa na yeye ameolewa lakini mkionana mnaishiwa nguvu hahahahahahhahahaaa tafuteni Energizers ili msiwe mnaishiwa nguvu

Natumaini umenielewa ni kuishiwa nguvu kwa namna gani sema tu unakwepa kunipa ushauri wa namna ya kuepuka hili.
 
unaishiwaje nguvu kwa mke wa mtu kaka..achana nae majuto ni mjukuuu
 
Hyo hali unaiendekeza weee mwenyewe
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 
mnaishiwa nguvu,mnawezaje kuvunja amri ya sita?

Sio kuishiwa nguvu kwa namna uijuavyo wewe, na kudate nae ilitokea mara moja tuu. Sio kila tulipokua tukionana.
 
umeona eeh, nashangaa watu kutaka mawasiliano na x's wao. Ya nini?

Na hawa ndio wanaoharibu soko la kina single Mother.

Hapa ndio naonaga bora watu wakiachana waachane kwa chuki na wawe maadui tu ikiwezekana milele.
 
wewe cha msingi mwenyewe kakubali kukupa mautamu mgegede ila ulinzi wako uwe kumla tigo.
 
unataka kuniaminisha una pepo la ngono kwa huyo dada? What an excuse!

Mkuu km umesoma vizuri cjasema namtamani ila ni hali huwa inajitokeza yenyewe tuu na najaribu kupingana nayo sana ila kwa sasa nahisi kupata wakati mgumu sababu huyu mtu kahamia jirani na ninapoishi afu mbaya zaidi mumewe cmjui hata kwa sura ila yeye ananifaham vizuri sana hadi ninapofanyia kazi.
 
Kaka menakushauri Nyoa tu kabisaaa sehemzako za makalio kwani 0713yako naiona kabisaaa italiwa soon pia mkeo hukumkuta bikra so nayeye wanamfukua jamaazake wakitambo mwishowake Ni ukimwi na taabu kwa watotowenu Kwanini usitulie na mkeo? Pichu kabisa Wewe toa uvundowako hapa.
 
Nimekuja hapa nipate mbinu zaidi za kulinda ndoa yangu na sio kwamba nataka niwe nae istoshe ana mme wake pia ishu ni tukionana tuu ni kosa tunajikuta tunatamaniana sana hata kama upite mda gani hali inakua hiyohiyo.
Sasa kama ana mume wake mbona unamtafuna? I dont know kama I am too old for this au wewe you are too young for such things, as kama mwanaume, tena mume wa mtu it's shame kuwa weak kwa zilipendwa/ex wako!
Hebu acha kujilegeza, be a man, respect your marriage please! !
 
Hata ukikutana nae jaribu kua busy usipende kumchekea chekea na kama inawezekana hama hapo unapoishi ili kuepuka hilo janga na kuilinda ndoa yako pia.
 
Sasa kama ana mume wake mbona unamtafuna? I dont know kama I am too old for this au wewe you are too young for such things, as kama mwanaume, tena mume wa mtu it's shame kuwa weak kwa zilipendwa/ex wako!
Hebu acha kujilegeza, be a man, respect your marriage please! !

Hilo boya usikute hata hao Sio watoto wako utaishiwaje nguvu dume zima tena lenye mke?na mkewo akimuona x wake huwa anaishiwa nguvu so hapo ngoma droo,lala tu mama Wewe unatupotezea muda humu.
 
Hii mbona ni simple sna, kama mdau mmoja alivyosema, mtafute mme wake mweleze yaliyowatoke ama yanayotokea ukikutana na mke wake, next time it wont happen ever.
 
Jiandae kuliwa nnyaa weye mkewamtu sumuu.
Tafuta k-y ili upunguze michubuko Wakati wakuliwa br,ukiendelea usiombe ushauri ulete mrejesho ningekuona wamaana kama ungeomba ushauri kabla hujaishiwa nguvu au kumgonga umenipata we skirt?
 
Hiyo ya kuishiwa nguvu iko poa sana kwa itamrahisishia mume wake kazi ya kukufumua sketi!
 
Subiri mume wa huyo mwanamke agundue...ndio itajua kama unakua na hisia za hali ya juu au tamaa ya hali ya juu
 
Mmh hama tu hapo kama unaweza. Hiyo misisimko yenu itawapeleka pabaya. Mlishaachana ya nini kutamaniana?? Mshindeni shetani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Asante kwa ushauri, ht mimi nahisi kuhama ndio dawa pekee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom