Ushauri unahitajika kunusuru roho ya mtu!

kama kujiua mbona angeshajiua tangu hiyo may..bhana..halafu ukimng'ang'ania mwanamke anakuona boya...pili hawezi kuonesha mapenzi kama yale alokua anakuonesha mwanzoni..sababu mapenzi hayalazishwi..nilishawahi force lakini ishu ikwa sio kivile nikapotezea..sasa hivi nafeel vizuri ajabu...kama vipi jamaa ajitahidi tu aaachane nae manzi..unapong'ang'ania mwanmke unajinyima chance ya kupata wengine coz ur still stuck in the dark...
 
Kama hivyo ndivyo basi tena, haina haja basi, amwambie wazi kuwa haiwezekani na nakuhakikishia jamaa hawezi kujiua.

Sorry niulize, bidada kashapata pumziko lingine la moyo nini?

hahaha ulijuajee,kapata na jamaa yuko serious anataka kuchukua jumla keshampeleka kwao na anategemea kumvalisha pete, sasa kero za baba mtoto zinamuweka njia panda bidada
 

Kama anataka kujiua manake aweza kuua pia! Bora ajiue yeye kuliko kuua mtoto wa wengine! Bibi hapana fuata hii bwana hatari
 
hahaha ulijuajee,kapata na jamaa yuko serious anataka kuchukua jumla keshampeleka kwao na anategemea kumvalisha pete, sasa kero za baba mtoto zinamuweka njia panda bidada

Nilihisi tu kutokana na msimamo wa bidada.

Basi asigeuke nyuma, kama anahisi mkaka mpya ni mstaarabu na anaejua maana ya mke, aendelee nae tu.

Unajua sisi kina kaka mara nyingi huwa tunaona umuhimu wa bidada siku ukimkosa! Ni somo hata kwa baba mtoto pia, ajifunze kujali siku akipata bidada mpya na yeye
 
Reactions: Hun
kama ame baki na nyumba zote mbili sio mbaya abaki nazo tu mbona ndio poa yaani ame achwa na mali hiyo ndio fresh mm napenda wana wake wanamna hiyo
 
Reactions: Hun
kama ame baki na nyumba zote mbili sio mbaya abaki nazo tu mbona ndio poa yaani ame achwa na mali hiyo ndio fresh mm napenda wana wake wanamna hiyo

bidada anasema hajali kuhusu hizo nyumba amemwachia anachotaka yeye ni happiness yake na ya mtoto,mana alikuwa akimgombeza na kumpiga mbele ya mtoto mpaka mtoto anamwambia "mwache mummy".
 
namuunga mkono,anaejiua hatangaz hyo ni gia 2 ya kumrudia.aendelee na msimamo huohuo bidada mana mwanaume alimuona wa nn sasa inakuaje amwone tena wa maana.msemo upo ukisema wa nn wenzio wanasema watampat lini.asikubali kuwa chombo cha kustareheshwa 2.
 


huyo mwanaume bwn, alipopendwa hakupendeka sasa ivi hapendwi yeye ndio ajidai kupenda ..kha!!!!!!!!
Uzuri wa mtu utaujua pale unapomkosa, ss ndio anamfeel..
Nashauri huyo dada aachane naye huyo mwanaume anachotaka ni kumuharibia tu mahusiano yake mapya halafu atarudia yale yale, mtu km hakuwezza kubadilika kwa miaka 7 atabadilika leo?
mwisho hakuna mapenzi ya huruma, alishampa chansi akachezea aachane nae..
 
mbaya zaidi akiona harudiwi,na huyo jamaa akijua kuwa huyo dada ana mtu,asije akamuua huyo dada nakiua yeye ili wakose wote.huyo yanatokea hayo
 
Ajiue tena afike salama aendako,dada kama kaamua na amepata ampendae asirudi nyuma,ashikilie msimamo wake,amuulize anataka kujiua kwa njia ipi,kama kujinyonga amnunulie kamba, na kama ni sumu amnunulie ile kali ambayo akitia mdomoni haponi,vitisho tu kaona amemwagwa na hakutarajia!
 
ajiue tu....si anaacha mwenyewe ugali. Nyamachoma mziki kazi pesa na kuabudu.

Mwambie apumzike kwa amani
 
Atafute watu wazima wamshauri huyu kijana, ingawa kupigwa chini ni issue lakini kwa situation ilivo ni vizuri zaidi kwake akakaa mbali na huyo mwanamke. Ajue mwanamke ni mtu mvumilivu sana (hasa akikupenda) ila akibadili mawazo ndio basi tena, ameshapoteza tena
 
Ishu nyingne hazihitaji ushauri, ni kufanya maamuzi tu..
.
"Nenda mwalimu", mpenzi alikupenda but sheitwan amekupenda zaidi!
 
Hawezi kujiuwa hata siku 1 huo mkwala tu kama kapata mwengine aendelee nae
 
Mi nazani njia pekee ya huyo jamaa kuonesha hatanii ni kujiua kiukweli kweli! Ila muulize kitu kimoja, je huyo jamaa anaweza kusingizia kuzimia? Kama hawezi, basi hawezi kuzingizia kufa wakati hata kuzimia hawezi!
 
Huyo mwanaume ajiue tu alizoea kumyanyasa mtoto wa watu alidhani mazuri
 
Mwambie ajiue fasta ili amuache mwanamke aishi kwa amani.
 
I will never look back yooooooom .Damn how can u play with my feelings to such extent.

Naamini huyo dada imemgharimu sana (maumivu ya moyo, muda, fedha n.k) kufika hapo alipo sasa yani kukubali kuwa anaweza kuishi bila huyo jamaa.

Sasa akichemkaa hapa imekula kwake .. Naweza kusmell huyo jamaa ana lengo flani kama sivyo basi kuna shida mahala.

Haiiningii akilini mmeshabreak na kurudiana 5times then unafikiri ya 6 ita work. KALAGHABAHO ..

Aende zake hukoo.. Au kesha ukwaa anataka washeee mtcheeeeeeeeeeew....

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kama mwanamke anajiua for a man hashindwi huyo mwanaume kujiua though kwa mimi naona ni upuzi kujiua sababu ya mapenzi, alitesa mwanzo na sasa ni zamu yake kuteseka..lol
Huyo mama ashikilie msimamo wake, wengine hula matapishi but mimi nisingerecommend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…