Ushauri unahitaji kuhusu kozi hizi na vyuo hivi

Shukrani mkuu, ni vyuo gani vinatoa kozi ya kilimo na biashara au kilimo na uchumi
 
Ni DM nikupe maelekezo kaka kuhusu hiyo kozi UDSM
 
Mkopo anaweza pata kama akipata chuo, ila kwenda UD au SUA kwa matokeo hayo ni ngum sana,..afu anapenda course za science wakati MATH ana F, anazingua asee.
 
Kwa hayo matokeo, course zote mbil hawezi pata, had hapo aanze kutafuta diploma courses then akimaliza ndio aunge degree kwa hizo course anazohitaji
 
Agribusiness ndiyo most competetive pale SUA hivyo kwa matokeo hayo asahau, UDSM kozi hiyo ni mpya na bado hazijafahamika kwa wengi hivyo ushindani upo chini. Matokeo haya hayaridhishi ukilinganisha na ufaulu wa mwaka huu. Ningemshauri atupie jicho pia vyuo vya private vinavyotoa kozi hizo if any
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…