Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 675
kwanza kabisa nawasalimu wote wana JF dhumuni langu leo hii ni kuwaelezea wenzangu wanaoanza chuo kuhusiana na kukosa mkopo.ninachowashauri jamani hata ukikosa mkopo usiache kusoma jitaidi hata uuze chochote uende chuo ukasome then ukifika huko ukishaanza first year utaanza kupewa boom na kiasi kidogo cha ela unakata kwenye ada na mambo yanasonga coz wanatakaga ulipe ada nusu kwa semister si yote na inawezekana,ngoja nikupe ushuhuda mimi binafsi ni mwka wa tatu sasa nasoma chuo na sina mkopo na bado najitaidi kusoma ivo ivo nilivoowaambieni usikate tamaa kwasababu nafasi hii watu wanaitafuta sana na usiichezee....siku nilipokosa mkopo niliumia sana na niliona labda mungu hanipendi na nilienda chuo nikijua kua sitapewa hata boom na katika kuuliza uliza nikaambiwa hata asilimia zero wanapewa boom na kweli nikapata na sina toafauti yoyote na wanachuo wengine tofauti yangu ni silipiwi ada tu na ela ya field sipewi basiii na ninakaa nje na maisha yanaenda kama kawaida. lamuhimu ukiwa haujapata mkopo usije ukajichanganya na kula eti hotelini na kwenda club utapotea wewe nunua jiko loa gesi uwe unajipikia utaona maisha yatakavokua matamu na utang'aa kinoma na uwe na uhusino na watu vizuri coz siku ukiwa umefulia watakupiga tafu ni hayo tu WANDUGU