Kuna watu wengi ambao ni waajiriwa katika sekta binafsi na taasisi za umma ambao hawana sifa stahiki katika ajira walizonazo kwa kuwa walitengeneza vyeti feki ili kujipatia ajira hizo.Ushauri wangu waajiri wote wakusanye vyeti vya watumishi wao na kuvipeleka Baraza la Mitihani na katika vyuo husika ili vihakikiwe uhalali wake!
Naomba kuwasilisha!
Naomba kuwasilisha!