Sinza hiyo hapo unaitafuta Mbususu interchangePapuchi road
Kunyanduana road
Watu wanalipia majina waandikwe wao hii ndo Tanzania.Jinsi zoezi linavyoendelea Ushauri kwa wahusika tumieni majina ya machifu Kama chifu Songea,chifu Mangisina,chifu Mkwawa na siyo kutumia majina ya ajabu ajabu.