4g ya TTCL Itakuwa na speed zaidi, ila Airtel wana vifurushi vizuri zaidi. kwa user wa 5 au 6 kwa 3g mmoja akiwa na heavy usage huwenda akawafanya wenzake wawe slow.
ushauri angalia speed ya Airtel kwanza hapo mahala unapotaka kuweka hio Router yako na pia hakikisha kama kuna coverage ya 4g ya TTCL, kama Airtel wana speed nzuri ni vyema wao.
alternative Tafuta Router ambayo ipo unlocked then utakuwan free kubadili line kadri unavyotaka
Wakuu,
Noamba ushauri. Nataka kununua modem kwa ajili ya WiFi kwa matumizi ya nyumbani, hivyo users watakuwa kama 5 au 6. Sasa hivi kuna hii ya TTCL Huawei 4G, na pia kuna Airtel 'Wingo'. Najua pia Vodacom, Smile na mitandao mingine wanazo.
Naomba ushauri ipi itanifaa katika matumizi ya nyumbani, hasa kwa TTCL, Airtel Wingo au Vodacom.
Natanguliza Ahsante.
zote zipo, zipo unazoeka line tu na zipo unazochomeka modem.Mkuu hizo router ambazo ziko unlocked zinaenda kwa bei gani? Na ni mpaka uweke modem au line ya simu moja kwa moja??
Chukua =ChukuwaChukuwa TTCL TU kwa ajili ya Uzalendo hata kama haikidhi kulinganisha na wengine lkn bado chukuwa TTCL yetu na waambie wengine wafanye hivyo hivyo!
Riwa chukua ya TTCL iko bomba sana inaitwa MiFi , mimi natumia na familia yangu , ni ya watu kumi lakini akitokea wa 11 basi achomeke kwenye computer hivyo kufanya idadi ya watumiaji kuwa 11. ni sh. 150,000 na line ya sh 5000 pia utapata ofa ya GB 5 kila mwezi kwa muda wa miezi mitatu na bando zao ziko chini ukilinganisha na wengine.Chukua =Chukuwa
Mr. Riwa,Wakuu,
Noamba ushauri. Nataka kununua modem kwa ajili ya WiFi kwa matumizi ya nyumbani, hivyo users watakuwa kama 5 au 6. Sasa hivi kuna hii ya TTCL Huawei 4G, na pia kuna Airtel 'Wingo'. Najua pia Vodacom, Smile na mitandao mingine wanazo.
Naomba ushauri ipi itanifaa katika matumizi ya nyumbani, hasa kwa TTCL, Airtel Wingo au Vodacom.
Natanguliza Ahsante.
Mr. Riwa,
mie nakushauri uchukue MiFi ya TTCL. maana mie natumia kwenye TECNO yangu ya C5 ngoma inagonga balaa. Speed mpaka unachanganyikiwa. Tena ukiwa ni mtu wa streaming ndio usiseme, yani youtube, goallive mwanzo mwisho. nakaa zangu Kiwalani yombo hata ukiwa na bar moja ya network speed ni ile ile. hawaongopi hawa jamaa. wasiliana nao watakuletea hadi home ama ofisini kwako. wapigie 0222 100 100 au tembelea maduka yao upate experience moja kwa moja.
chief screen shot hiyo hapo wakati huu naitumia hapaunaweza kushare screenshot ya speed?
Haha kuvurugwa nayoChukuwa TTCL TU kwa ajili ya Uzalendo hata kama haikidhi kulinganisha na wengine lkn bado chukuwa TTCL yetu na waambie wengine wafanye hivyo hivyo!