Ushauri: Tofauti kati ya html 5 apps na native apps

apprentice1997

Senior Member
Jun 8, 2016
107
99
Habari wadau, nimevutiwa sana na hybrid apps development hasa kwa kutumia HTML 5, CSS na JavaScript. Nikiwa na background ya hizo language tatu ninatamani kukamilisha appkwa ujuzi huu nilionao bila kuhangaika na language mpya. Naomba kufahamisha faida name hsara za kutumia HTML kwenye kutengeneza apps, na vipi kuhusu functionality na nguvu ya hizi app za HTML tukilinganisha na apps za java. Na je nitaweza kuweka language nyingine kama php ili niweze kuaccess database yangu. Nahitaji msaada pia wa softwares name framework nzuri ili itakayonisaidia kukamilisha apps zangu hizi bila wasiwasi. Asante
 
Hybrid development unatumia same codebase kwenye platform zote, ni idea nzuri lakini kwa set flani ya applications, mostly zile ambazo sio performance critical, Hybrid apps kiundani zinarun kwenye browser, so ni kama website ya kawaida tu, tofauti ni ile unapewa baadhi ya native features juu yake kama camera, gps e.t.c. Mfano app ya kikuu wanatumia HTML5, Soka nao version yao ya zamani walikua wanatumia HTML5 app naona wakaswitch kwenda native nadhani waliona performance hit.

Pros:
- Same codebase, all platforms
- Quick prototyping
- Easily updatable, ukiandika code unaweza push updates moja kwa moja kwenye app bila kupitia check ya app store ambayo inachukua muda hasa kwenye iOS.

Cons
- Its JavaScript, hii kitu ni single threaded, utakua na locks kibao
- Poor performance
- Lack of some great native features, mfano kuimplement tabs au navigation panel kwa HTML5 is a joke, sijaona hata kampuni moja ambayo imeweza pull this off at 60fps, DOM rendering is freaking expensive
- Anyone can read your code, APK ikiwa expanded mtu anaweza ona code yako yote, unaweza jaribu obsfucate JavaScript ndio ila kwa hizi online tools nyingi mtu anaweza reverse tu kirahisi akapata original code. Au hata asipopata anaweza edit ontop of obsfucated code akaongeza features anazotaka akacompile na kuitupia playstore kama app yake.

Kama unapenda kutumia JavaScript/HTML/CSS mimi ningeshauri ujaribu kuangalia pia na React-Native, kama unajua ReactJS its even easier. Yenyewe sio write once run everywhere, ila unaweza kua na shared components nyingi kwa hiyo still unaandika less code kurun kwenye platform zote, yenyewe unlike tools nyingine nyingi hairun in a webview, ina port your javascript into native code, kwa hiyo performance yake ni sawa na ile ya native apps tu. na inakuja na pros zote za HTML5 apps, Cons its still in early stage, japo kuna watu wamedevelop apps nyingi tu, kuna muda utahitaji kuport your own native code kupata some functionalities, which isn't that hard, ila kama hujui native language ya hizi platforms umeumia.

Framework unaweza jaribu IONIC pia, yenyewe lakini lazima uwe unajua AngularJS, performance sio kama native ila its very close.
 
Hybrid development unatumia same codebase kwenye platform zote, ni idea nzuri lakini kwa set flani ya applications, mostly zile ambazo sio performance critical, Hybrid apps kiundani zinarun kwenye browser, so ni kama website ya kawaida tu, tofauti ni ile unapewa baadhi ya native features juu yake kama camera, gps e.t.c. Mfano app ya kikuu wanatumia HTML5, Soka nao version yao ya zamani walikua wanatumia HTML5 app naona wakaswitch kwenda native nadhani waliona performance hit.

Pros:
- Same codebase, all platforms
- Quick prototyping
- Easily updatable, ukiandika code unaweza push updates moja kwa moja kwenye app bila kupitia check ya app store ambayo inachukua muda hasa kwenye iOS.

Cons
- Its JavaScript, hii kitu ni single threaded, utakua na locks kibao
- Poor performance
- Lack of some great native features, mfano kuimplement tabs au navigation panel kwa HTML5 is a joke, sijaona hata kampuni moja ambayo imeweza pull this off at 60fps, DOM rendering is freaking expensive
- Anyone can read your code, APK ikiwa expanded mtu anaweza ona code yako yote, unaweza jaribu obsfucate JavaScript ndio ila kwa hizi online tools nyingi mtu anaweza reverse tu kirahisi akapata original code. Au hata asipopata anaweza edit ontop of obsfucated code akaongeza features anazotaka akacompile na kuitupia playstore kama app yake.

Kama unapenda kutumia JavaScript/HTML/CSS mimi ningeshauri ujaribu kuangalia pia na React-Native, kama unajua ReactJS its even easier. Yenyewe sio write once run everywhere, ila unaweza kua na shared components nyingi kwa hiyo still unaandika less code kurun kwenye platform zote, yenyewe unlike tools nyingine nyingi hairun in a webview, ina port your javascript into native code, kwa hiyo performance yake ni sawa na ile ya native apps tu. na inakuja na pros zote za HTML5 apps, Cons its still in early stage, japo kuna watu wamedevelop apps nyingi tu, kuna muda utahitaji kuport your own native code kupata some functionalities, which isn't that hard, ila kama hujui native language ya hizi platforms umeumia.

Framework unaweza jaribu IONIC pia, yenyewe lakini lazima uwe unajua AngularJS, performance sio kama native ila its very close.
hivi ni wap naweza kupata darasa ya hii AngularJs kwa Dar...ukiacha kusoma online?
 
hivi ni wap naweza kupata darasa ya hii AngularJs kwa Dar...ukiacha kusoma online?

Sina knowledge yoyote kuhusu centre zilizopo Dar ambazo zinaweza kua zinafundisha hii kitu, Centre ya Stefano Mtangoo wanafundisha JavaScript, sijui kama hii AngularJS nayo pia wanaigusia.
 
Sina knowledge yoyote kuhusu centre zilizopo Dar ambazo zinaweza kua zinafundisha hii kitu, Centre ya Stefano Mtangoo wanafundisha JavaScript, sijui kama hii AngularJS nayo pia wanaigusia.
Shukrani kwa kuni tag.

Ni kweli tunafundisha JavaScript lakini hatufundishi bado AngularJs. Tunafundisha mambo mengi ila huwa tuna run kwa msimu. Hope kuna time tutarun training za AngularJs au Ember.js. Its likely itakuwa Ember.js kuliko angular kwa kuwa Angular iko kwenye transition kwenda version 2.0 na watu wengi hawajashawishika na 2.0 bado wako 1.x. Sasa ni vigumu trainingwise kuamua ufundishe 2.0 au 1.x

Kama mpaka huo muda hiyo impasse itakuwa bado ipo tutafundisha Ember.js
 
Shukrani kwa kuni tag.

Ni kweli tunafundisha JavaScript lakini hatufundishi bado AngularJs. Tunafundisha mambo mengi ila huwa tuna run kwa msimu. Hope kuna time tutarun training za AngularJs au Ember.js. Its likely itakuwa Ember.js kuliko angular kwa kuwa Angular iko kwenye transition kwenda version 2.0 na watu wengi hawajashawishika na 2.0 bado wako 1.x. Sasa ni vigumu trainingwise kuamua ufundishe 2.0 au 1.x

Kama mpaka huo muda hiyo impasse itakuwa bado ipo tutafundisha Ember.js
hata hii v1.x kwangu mie ni sawa...is it possible kupata hata private class?
 
You will not go very far with HTML5 apps. To me it was a mistake to have it at all. Its a wasted effort.
Advantage is only for the lazy people. Learn native language and program natively.

Kuongezea kwa Graph ni kuwa kuna vitu native huvipati. mfano Native Widgets kama RecylerView kwenye Android au UITableView kwa iOS
 
hata hii v1.x kwangu mie ni sawa...is it possible kupata hata private class?
Kwa sasa tuko occupied na kuandaa training za October. May be tunaweza kuongea baada ya hapo.
BTW ktk training yetu ijayo kuna darasa la Java beginners to Intermediate and then linafuatiwa na Android Development if you are interested.
 
Kwa sasa tuko occupied na kuandaa training za October. May be tunaweza kuongea baada ya hapo.
BTW ktk training yetu ijayo kuna darasa la Java beginners to Intermediate and then linafuatiwa na Android Development if you are interested.
nashukuru Ndugu,tutawasiliana zaid juu ya hizi programming languages kadri siku zinavyoenda
 
Kwa sasa tuko occupied na kuandaa training za October. May be tunaweza kuongea baada ya hapo.
BTW ktk training yetu ijayo kuna darasa la Java beginners to Intermediate and then linafuatiwa na Android Development if you are interested.
Tarehe ngapi inaanza mkuu??
 
Tarehe ngapi inaanza mkuu??
25 October inaanza ya kwanza zingine zinaenda consecutive. Registration deadline ni 20th October

uploadfromtaptalk1475436538571.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom