Mwagito84
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 235
- 716
Kuna binti nakusudia nimemweleza niya yangu ya kumuoa baada ya kumchunguza vya kutisha. Amemaliza chuo mwaka huo ila tatizo analigomea ombi langu kwake anadai ana mtu licha ya kuwa utafiti wangu unaonesha kuwa yuko single....tunapiga story vizuri namsaidia changamoto zake na anakuja mara kwa mara kunitembelea. Shida nikimweleza juu ya mahusiano anasema ana mtu.......swali niendee naye au nimuache na 5o zake.......ushauri please........