Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,252
- 10,497
Yatima nao wanamatatizo yao besti.
Wanakuwa wameathirika kisaikolojia.
hao ndo wazuri besti, ukimpa care kidogo tu anajihisi kama yupo peponi. kwa attention kwangu, hana cha kumuhudunia baba wala mama... ni mkewwe na watoto tu.