moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,354
- 5,006
Habari yenu wakuu?
Ni miezi 6 imepita tangu niingie kwenye mapenzi na huyu binti,kimwonekano ni mrembo wasura na umbo pia ,rangi nyeupe mtoto amebarikiwa ,ndani ya kipind nilichokuwa nae nimegundua kua ni kati ya mwanawake wachache wenye IQ kubwa ya maisha ,anapambana sana kutafuta life nahis akiwa shemeji yenu au wifi yenu ntajenga ghorofa sio mda mrefu coz kila nikimpatia mtaji faida inaonekana ,na ananpenda xana lakin inshu ni hajui mapenzi ,akifika on bed ni kama google ,hachenji voice note wata respond ,hutulia tu japo najituma kwelikweli ,nimejarib kuonja chai kwingine ni tam sana coz kule naona respond yaani nikiponyeza moja Lazime iandikwe,naomba ushauri niendelee nae au nimwache nichukue anaejua mapenzi na kurespond?
Ni miezi 6 imepita tangu niingie kwenye mapenzi na huyu binti,kimwonekano ni mrembo wasura na umbo pia ,rangi nyeupe mtoto amebarikiwa ,ndani ya kipind nilichokuwa nae nimegundua kua ni kati ya mwanawake wachache wenye IQ kubwa ya maisha ,anapambana sana kutafuta life nahis akiwa shemeji yenu au wifi yenu ntajenga ghorofa sio mda mrefu coz kila nikimpatia mtaji faida inaonekana ,na ananpenda xana lakin inshu ni hajui mapenzi ,akifika on bed ni kama google ,hachenji voice note wata respond ,hutulia tu japo najituma kwelikweli ,nimejarib kuonja chai kwingine ni tam sana coz kule naona respond yaani nikiponyeza moja Lazime iandikwe,naomba ushauri niendelee nae au nimwache nichukue anaejua mapenzi na kurespond?

