ushauri pliz: Nafikiria divorce

kuna mengi hapa!

Inategemea hiyo ndoa mliingiaje tangu mwanzo, usitake kuniambia frm no whr eti mnaanza tu eti mmechokana,sijui hampendani,uongo!iko sbb iliyowapelekea kufika huko haijaanza tu!

Kwani wangapi wanaingia kwny ndoa kisa mtu ana hela au kitu fulani?
Hao wapo tu wala usishangae ,wapo kabisa!!

Jus pray ,Mungu ndo kila kitu hawezi kukupa mke ambae hasomeki
 

Hahahaha labda mleta mada angefunguka vizuri. Mimi nliwahi kudate dem flan for 2 years tumegegedana weee na i love u i love u too sana tu. Baadae kaja kuniambia “ i dont love you and i never will “ nikamwambia “ Sepa, i’ve got a great life ahead of me “ mpaka leo we meet sometimes we greet and talk sometimes ni ganzi mwanzo mwisho. At some degree yule manzi kuniona mi maisha yangu yanasonga fresh tu na nina mtu mwingine. You could tell alikua anaumia sana but hana jinsi.

Case ya huyu mleta mada yeye na bwanake washachokana....alaf bado vijana damu zinachemka...sasa kila mtu anakula nnje. Ila huyu sister anaumia sana cz the dude doesnt give a F*ck !!! He does it openly. Hyo sijui jamaa sio mkali sijui hadhibiti hawara zake its just what disturbs huyu mleta mada. Ila jamaa angezidisha mapenzi kwake asingekua hivi.
 
Hot as f*ck
 
Kumbe ulipenda mwanaume mkali sasa ummempata unalialia nini?!!!
 
Mwuue tuu ili uolewe
 
Ndio yeye, ila sisi wanawake Mungu anatuona kwakweli. Huyo jamaa mume alifariki pia km sijaingia chaka na mm. Niliona kule baadhi wanasema hivyo.
Mungu anisaidie siku nikiolewa,nisije kupata mawazo ya hv.
 
Mambo mamii naomba Uje inbox Mana pm yako imefungwa.
Urgent
 
We ndo umesababisha mumeo akucheat bila kujificha sababu huvutii na wala huna mapenzi na mumeo. Ngoja nikupe siri hakuna ndoa kati yenu lazima ivunjike ni muda tu haujafika
 
Ndoa za mikataba zinakuja soon watu tuahe kuzinguana mkataba ukiisha mnakubaliana muendelee na mkataba wa pili au mmwagane
ndoa ya namna hii hata mimi nitajisajili ije tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…