ushauri please

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
10,276
19,587
mambo wana jf?
kuna binti aliniacha mwenyewe tu bila sababu lakini cha kunishangaza anapenda kunisifia kwa marafiki zake na ndugu zake kuwa mimi ni kijana mwenye tabia njema na nisiyekua na makuu ila wakimshauri turudiane anakataa anasema labda tuwe marafiki tu.
kinachonistaajabisha ni kuwa hakua na sababu ya msingi kuniacha na pia hakua na mwanaume mwingine maana hata mossad niliowaweka wamchunguze walinipa report kuwa hana mtu.pia nikimchunia muda mrefu bila kumtafuta siku nikimtafuta anakua kama kanuna vile anakua ananiambia eti imekuaje nimemtafuta mtu asiye na thamani kama yeye.
wakuu kwenye situation ka hii nafanyaje,mtu anatoa sifa njema kunihusu lkn hataki turudiane ukizingatia hakuna baya nlilomfanyia mpaka kuwa hivo?
 
mambo wana jf?
kuna binti aliniacha mwenyewe tu bila sababu lakini cha kunishangaza anapenda kunisifia kwa marafiki zake na ndugu zake kuwa mimi ni kijana mwenye tabia njema na nisiyekua na makuu ila wakimshauri turudiane anakataa anasema labda tuwe marafiki tu.
kinachonistaajabisha ni kuwa hakua na sababu ya msingi kuniacha na pia hakua na mwanaume mwingine maana hata mossad niliowaweka wamchunguze walinipa report kuwa hana mtu.pia nikimchunia muda mrefu bila kumtafuta siku nikimtafuta anakua kama kanuna vile anakua ananiambia eti imekuaje nimemtafuta mtu asiye na thamani kama yeye.
wakuu kwenye situation ka hii nafanyaje,mtu anatoa sifa njema kunihusu lkn hataki turudiane ukizingatia hakuna baya nlilomfanyia mpaka kuwa hivo?
una pesa za kutosha???
 
kama hakuna kosa lolote.. basi hapo ni pesa na game ndo kimekutenganisha nae!!!!
 
Mmmmh itakuwa kuna kitu kakikosa kwako na anaona uhakika wa kukipata ni mdogo,, jichunguze wakati mnamahusiano nivitugani alikuwa anavipenda Alf ulikuwa huna uwezo navyo
 
Wekeza muda wako kwenye kuhangaikia pesa kijana.hawa wanawake wa taifa teule la Tanzania ni very complicated creatures,usiwaendekeze hawa hawanaga shukrani kabisa.
 
Anaona kuwa wewe huwezi kupata jiko lingine,
Huyu ili arudi ni kumtikisa hisia zake atatia adabu na atakupigia simu na kukutumia sms na atafanya kila njia kukurudisha ili afiche aibu kwa marafiki zake,

Fanya hivi,

Tafuta picha ya mrembo mzuri kuliko yeye kisha iweke watsapp kama profile picture kisha pamba status na maneno mazuri,
Then,
Tulia usimtafute mpaka akutafute.
 
Achana nae huyo hana mapenz ya kwel kukusifia sio tatzo kama mwanamke hakupendi hakupendi tu haijalish unapesa, sijui unakibamia
Em kuwa bize na kutafuta pesa ujijenge watakuja wenyewe ila usiogope Mungu atakupatia mwingine ambaye anamapenzi ya kweli kwako.
Kama unakibamia anza kukipigisha push up ili uwe fit
Ni hayo tu mkuu
 
Anahitaji ukajitambulushe siyo kuendelea kumchezea. Amejitambua. Mzigo bora huo.
Au una kibamia anawaelezea rafiki zake mazuri yako ili wajirengeshe waone alichokikimbia
 
Ukielewa uliko toka na ulipo na unako taka kwenda utaelewa huyo ana nia gani kwako ila kama huja jua hayo niliyo kwambia huwezi kujua
 
Anahitaji ukajitambulushe siyo kuendelea kumchezea. Amejitambua. Mzigo bora huo.
Au una kibamia anawaelezea rafiki zake mazuri yako ili wajirengeshe waone alichokikimbia
unaweza kuwa na kibamia ila mtundu kitandan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom