Wow touching!
Wote mna makosa kwa pande zote dear!
Wewe:upo sawa but haupo sawa kwake,na kwako kwa kiasi fulani.Ok ye aje aendeleze what u've started with ur own hands au mayb ur ex alikupa taf,o watever! Kwa mwanaume yyte timamu haimek sense! Lazima inferiority complex ihusike! Then cku akachange na kutake everythn in the name of Love?ok cku haupo kimwili,urkids watakuwa safe?coz 4 2yrz isnt enaf kujua if anawapenda wanao the way u wanted,au wewe wakwake! Msiwe selfish mkawaharibia madogo future zao mamii! Hebu Think twice.
Yeye:mjamaa hajiamin,hana msimamo na kama bado anajishauri kwako ivi,coz kama tatizo ni kaz na hv hana miradi zaid ya salary,angejaribu kuangalia marambil! umuhimu wa mawasiliano na kuwa karibu ktk mapenz na akaamua moja,kwa future yenu nafamily!
Then kama ulivoshauriwa apo juu,em mpime na umulize upepo wake unaelekea wapi,i min anampango gan lbda apart from kuajiriwa,anapenda nin.mulize taratib.kama kwel anakupenda atakupa jb la uhakika.but ucmpe Mamlaka na miradi yako,usije kukosa hata choz la kulia! Anzisheni yenu,na watoto wote watambue ilo..wish u lucky! Though kibongobongo,ngum kidogo