Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ocean road

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
631
Reaction score
304
Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage, nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vipi naweza nikawa habari ya mjini.

Advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pamoja ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star, nipeni mbinu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo kama pamba zipo, Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana.

Wa kishua
 
Kuna njia mbili.
1. Kuwa kichwa, ukiwa kichwa kila mtu atakutafuta umuelekeze masomo.

2. Kuwa mkia, ukiwa mkia kila mtu atakutafuta hili ashike mkia wako.
Atakuwa star class kwao sio chuo kizima. .

Nokia ya Torch
 
Kuna njia mbili.
1. Kuwa kichwa, ukiwa kichwa kila mtu atakutafuta umuelekeze masomo.

2. Kuwa mkia, ukiwa mkia kila mtu atakutafuta hili ashike mkia wako.
Mi class nipo nondo mzee baba ndo niliwabeba wanangu kwenye diskashion

Wa kishua
 
Oy acha mimi nikushauri cha msingi wewe ukifika chuo achana na habari za kupiga msuli sijui kuingia class we fanya yako internet kwa sana.......zunguka mjini siku nzima halafa unajua nini uta DISCO hhahahahhahh huu ni ustaaa kuliko hata wa RIHANA
Ushauri mbaya huu

Wa kishua
 
Back
Top Bottom