Kwa Tanzania ya sasa, soma Electrical engineering hutojutia. Si kuanzia kuajiriwa wala kujiajiri. Electrical, Mechanical and Civil are core of all engineering courses. One of the ancient courses.
Hazijabadilika na hazitokuja kubadilika milele. Tofauti na hizi kozi za kuzuka.
Haimaanishi telecom hakuna ajira, ajira telecom zipo teleee. Wala ai za kuomba. Ubaya mmoja uliokuja kuzikumba hii kozi ya telecom, ni kwamba kazi zake nyingi kwa Tanzania yetu zinaweza fanywa na hata ambao hata hawajasomea telecom ama engineering kwa ujumla wake. So imesababisha soko kuwa saturated, na waajiri wanaopenda cheap labour wanatumia huo mwanya.
Kuna circular nimeiona juzi kati kuwa all companies zinazojihusisha na engineering, basi ihakikishe watu wake wana certificate na wapo registered na ERB.
Hili naona kama likikomaliwa litarudisha hii kozi katika hadhi yake ilopotea.