Ushauri: Nipo first year, nataka kusoma CPA

Ushauri: Nipo first year, nataka kusoma CPA

Habari zenu wanajf mimi ni mwanafunzi wa 1st year bachelor of economic and finance nataka kufanya CPA kuanzia mwezi5 ili nijiongezee thamani naombeni ushauri wenu
Unaweza mm kuna ninao wafahamu waliganya hivyo na wamefanikisha, ILA lazima uwe na commitment ya halii ya juu ingawa hizo level za chini masomo si magumu.
Pia itakujenga utajifunza kumanage muda wako..hutakua na muda ata wakutembelea marafiki wala ndugu.
Shule mbili sio mchezo.
 
Asanteni sana wakuu kwa contribution zenu nilifanikiwa na cornerstone consultancy wako arusha wanatoa classes za CPA naona mungu akipenda may nitaanza nimekutana vijana wa second year ambao wako foundation stage walianza first year wananipa moyo kama nina nia nitafanikiwa
 
Back
Top Bottom