Ushauri nimuache au nifanyeje?

Ushauri nimuache au nifanyeje?

Mimi nafikiri unatumia vibaya neno "Nakupenda", kama kweli una maanisha basi huo ugonjwa wake wala isingekuwa tatizo.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda hata hilo swala la yeye kuumwa sickle cell kakudanganya.
 
Mimi nafikiri unatumia vibaya neno "Nakupenda", kama kweli una maanisha basi huo ugonjwa wake wala isingekuwa tatizo.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda hata hilo swala la yeye kuumwa sickle cell kakudanganya.

Teh!!! Umenifurahisha hapo mwishoni!!!!
 
Mimi nafikiri unatumia vibaya neno "Nakupenda", kama kweli una maanisha basi huo ugonjwa wake wala isingekuwa tatizo.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda hata hilo swala la yeye kuumwa sickle cell kakudanganya.

Kaka ukweli mkuu kasema kila kitu!
 
kwi kwi kwi kwi kwi kwi

Hayo ndo yanaitwa mahaba ntie ngwala ning'oe meno ya barazani

Acha uoga kijana wanawake wako wengi kama vumbi la dhahabu geita

Mwambie unaachana naye halafu sikilizia baada ya wiki na nusu then call her uone kama hujaisikia sauti yake

Anayetaka kujiua hasemi ugali mtamu jamani!
 
Mimi nafikiri unatumia vibaya neno "Nakupenda", kama kweli una maanisha basi huo ugonjwa wake wala isingekuwa tatizo.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda hata hilo swala la yeye kuumwa sickle cell kakudanganya.

Umenichekesha halo mwishoni daaa.
 
"umwache au ufanyaye?" .....MM NAKUSHAURI UFANYEJE. Ufanyeje ndio jibu sahihi.
 
kwi kwi kwi kwi kwi kwi

Hayo ndo yanaitwa mahaba ntie ngwala ning'oe meno ya barazani

Acha uoga kijana wanawake wako wengi kama vumbi la dhahabu geita

Mwambie unaachana naye halafu sikilizia baada ya wiki na nusu then call her uone kama hujaisikia sauti yake

Anayetaka kujiua hasemi ugali mtamu jamani!

Mkuu noma sana aisei!
 
Pole sana..huo kwa kweli ni mtihani mkubwa

Mkuu sijielewi make anavyolalama last aliniambia asingekuwa na mimi angekufa muda siyo mrefu sikumwelewa nikajua swaga za mapenzi but hapa ndiyo nimeanza kupata what she had always meant....!
 
Kama mahusiano yako na mwenzi ni kero kwako....hata unatamani kuachana, na ushaambiwa kero hizo hazitakoma kamwe, zaidi mwenyew kakwambia ukimwacha atajiua....wew mwenyew unadai kumpenda sana...UNAKOSAJE MAAMUZI???

Unajua hapo pana hasara kuliko faida....na bado unaganda hapo kama Luba..what are you for in this world.?

ndio maana nikakwambia UFANYEJE ndo jibu sahihi. Na wew unaumwa sickle cell aliyokwambia.

Amua kumuacha, AKIJIUA na wew JIUE.....Amua kudumu nae kwa kuwa mnapendana, MATATIZO yake ni YAKO PIA. Kazana kusoma na ushirikishe wenzio akili zako...zikichanfanyika na za wenzio..ZITAKUWA AKILI KAMILI.
 
Kwanza, .sickle cell haingiiliani na uongo wake. Kuna dada nafanya nae kazi hapa ni good performer at work ana cheo cha umeneja wa kuaminika, Postgraduate na ni mama wa watoto 3 ila siku ikimbana ndo utamwonea huruma ni ICU kwenda mbele. Sasa angekuwa anatumia huo ugonjwa wake kama ni excuse sidhani kama angefika that far...ugonjwa ni mindset yake tu.

Pili, nahisi matatizo yanaweza kuwa kwako, wewe waonyesha kutokumwamini. Maana unapenda kumuuliza uko wapi kila mara, labda anakujua tabia yako na mazingira aliyopo unaweza ukakasika ndio anaishia kukudanganya. Acha kumuuliza uko wapi everyone now and then...labda you're controling freak!

Tatu, mtu mwenye Sickle cell anaweza kuolewa na kuzaa watoto salama, nendeni mkapime genetic zenu. Huyo dada nilioleza hapo juu mumewe sio sickler na ameweza kuwa na family ambayo haina maradhi. Shughuli jitaarishe na kuuguza when needed, na kama unampango wa family kubwa sidhani kama litawezekana kwa hawa watu.
 
Weka picha yake na namba yake ya simu tukusaidie vizuri zaidi.
 
Kwanza, .sickle cell haingiiliani na uongo wake. Kuna dada nafanya nae kazi hapa ni good performer at work ana cheo cha umeneja wa kuaminika, Postgraduate na ni mama wa watoto 3 ila siku ikimbana ndo utamwonea huruma ni ICU kwenda mbele. Sasa angekuwa anatumia huo ugonjwa wake kama ni excuse sidhani kama angefika that far...ugonjwa ni mindset yake tu.

Pili, nahisi matatizo yanaweza kuwa kwako, wewe waonyesha kutokumwamini. Maana unapenda kumuuliza uko wapi kila mara, labda anakujua tabia yako na mazingira aliyopo unaweza ukakasika ndio anaishia kukudanganya. Acha kumuuliza uko wapi everyone now and then...labda you're controling freak!

Tatu, mtu mwenye Sickle cell anaweza kuolewa na kuzaa watoto salama, nendeni mkapime genetic zenu. Huyo dada nilioleza hapo juu mumewe sio sickler na ameweza kuwa na family ambayo haina maradhi. Shughuli jitaarishe na kuuguza when needed, na kama unampango wa family kubwa sidhani kama litawezekana kwa hawa watu.

Asante kwa ushauri.
 
umembikiri... now umepata mwingine waanza visingizio.... walahhi humwachi dadangu....ntakufanyizia....
 
Jamani mwenzenu niko njia panda,yapata Mwaka sasa niko kwenye mahusiano na mdada fulani jina nitasema badae, jamani nampenda sana nae pia kiukweli ananipenda mno si kidogo, ila sasa amekuwa na tabia fulani ya kusema uongo wa vitu vidogo vidogo mfano amaweza kuwa yuko nyumbani akadanganya yuko kwenye Daladala huku unasikia mazingira yanaonesha siyo kwenye Gari ila yapo matukio mengi anakuwa anadanya ila ukimbana kidogo anakueleza ukweli na kuomba msamaha.

Shida imeanza leo baada ya kuwa amedanganya kaenda mahali afu akawa amerudi Nyumbani nilipompigia Simu kaanza uongo wake mara nipo kwenye Daladala sasa shisa ni kwamba mazingira ya kwao nayaelewa sana, nikaa nambishia baada ya kama dakika tatu za mabishano akaadimit na kukubali yupo home na kumuuliza anafanya hivyo akadai hana jibu.

Kwakweli nilichukia nikaamua kumtolea uvivu nilimpa masharti kadhaa na ili ayalidhi moja ilikuwa aniambie sababu ya kuwa muongo kwa vitu vya kijinga. Baada ya kuona yamekuwa makubwa akaamua kufunguka na sababu zake ni hizi:

1) Kwanza ili mchukua muda ila mwisho kasema kwa huzuni sana kuwa yeye ni mgonjwa( Sickle cell), unamfanya apende kudanganya ili kwasababu watu wa namna hii wanatabia ya kuogopa kutokubaliwa au kutojiamini muda wote.

2) Sababu ya pili kasema huwa ajui anachosema kama kitanikwaza sana, kwahiyo yeye anavyona hakuna tatizo, mimi nachukia.

Sasa waungwana wanajamvi embu nielezeni kuna uhusiano kati ya kuongopa na Sickle cell? Pili hii habari imenichanganya sana, nawaza nimwache maana huu ugonjwa ni mkubwa na si wakiza kimoja na pia nimesoma kwenye mtandao matunzo ya mtu wa sickle cell ni ghali sana! lakini hata muda wake wa kuishi ni akibahatika kuvuka 18 ni limit 50yrs.

Hapa nilipo nimechanganyikiwa sijui ata nifanyeje yeye kwasasa yupo 21, kama kuna mtu uelewa nisaidieni ameniambia hii siri baada yakuwa amelia sana. Na amevunja agano la mama yake alimwambia asije mweleza mtu ambaye ajui hili tatizo naona hofu ya mama yake ni kwamba mwanae atakosa mwanaume wa kumuoa na kanitishia nikimwacha anakunywa sumu. Nimeanza naye mapenzi alikuwa bado ajajua mwanaume nampenda Avemaria nifanyaje.
Huyu member mwenzetu Avemaria ndiyo muhusika uliyeahidi utamtaja jina?
Ok! Hamna uhusiano wa SCD na kusema uongo.

Vijitu viongo viongo hata kwa mambo madogo madogo huwa havifai kamwe , hutakaa uwe na furaha.
Kuhusu kujiua hiyo haipo.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu the only time wakiongea ukweli ni wana admit walikudanganya hapo mwanzo...
kazi ni kwako
 
umembikiri... now umepata mwingine waanza visingizio.... walahhi humwachi dadangu....ntakufanyizia....

Shemeji acha mambo zako wewe! Dada yako anapendwa cha msingi toa ushauri.
 
Back
Top Bottom