Ushauri: Nimekuja kugundua naishi na mwanamke ambaye amewahi kuugua Ukichaa

Experience is an edge. Hizi kazi za kawaida ama hizo fani hapo juu pamoja na kusoma miaka iyo yote bado wanazitangaza wakiweka uzoefu Kama kigezo.
Ila trading or investigating mtu anaona Kama ni kamari ni suala tu kusema head/tail.

Listen everybody gets what wants out of market. If you want to trade like gambling,if you want to a house aka casino is possible,if you want to trade for excitement, thrills or doing your impulsive trading is possible.

Trading is hard this hardest is in our mind.
Trading is life, trading inaendana na scripture za Bible kuwa usihangaikie ya kesho Wala Jana Bali itazame Leo yako.
Be at present ,be at this moment.
 
Ugonjwa wa kichaa unaweza kumpata yoyote, mahali popote.

Haupo salama sana kwamba wewe huwezi kuugua kichaa.
 
😂😂😂😂 Mkuu ukilala usiwe unafumba macho yote acha jicho moja wazi kumcheki kama hajachukua gongo kutaka kutaka kukudhuru.
Kuna mwanamke naishi naye mwezi wa Sita Sasa ila nimekuja kuambiwa na mtu wa karibu kutoka Familia yao kuwa huyu mwanamke alishawahi kuugua ukichaa mwaka 2015 akatibiwa akapona. Tatizo ni mie baada ya kujua nimeanza kuogopa. Je hili likoje? nishawahi sikia kua mtu kama aliwahi kua kichaaa huwa kinarudi tena hata bada ya miaka kadhaa, Je ni Kweli mtu akiwahi kuwa kichaa huwa hakiponi kabisa bali kinatulia hata miaka kadhaa halafu kinarudi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom