Hapana si mimi ila nina ukaribu na familia ya Cyprien Ntaryamira ,Ntibatunganya na Ndadaye.Mkuu,hiyo avatar ni wewe ? Na kama ni wewe je una undugu wowote na rais ?
Haaa mwili wa mazoezi Huo acrobatic.Duh nadhani ulikuwa na lishe hafifu sana
Usimtishe kg 57 miaka 26 we utakua na urefu wa 145-160 cm....
Sasa hivi una ngapi?
Positive thinking.
Kwani alipokuwa anautengeneza huo mwili akikuja kuomba ushauri? Why hakuchukua tahadharia kabla hatari haijamfika? Kuongezeka kwa mwili sio ghafla, lazima alininotice mabadiliko lakini akauacha hadi amekuwa kifutuHili jukwaa ni la madaktari, mleta anataka majibu nyie mnaleta upuuzi, sio kila mada lazima upost ujinga na kama huna la maana bora ukae kimya na uwaachie wenye ujuzi, sawa?