Ushauri: Ndugu zangu wananisakama nioe

Ushauri: Ndugu zangu wananisakama nioe

Kuna madingi hawaoni noma kukuchana

Siku moja nimempigia simu dingi, ile tumemaliza maongezi akasema

" Hivi hadi leo unalala peke yako"

niliona noma sana jioni ile
 
Kuna madingi hawaoni noma kukuchana

Siku moja nimempigia simu dingi, ile tumemaliza maongezi akasema

" Hivi hadi leo unalala peke yako"

niliona noma sana jioni ile
😀😀Ungemjibu Kuna mchongo nausikilizia
 
Mpigie simu baba yako sasa hivi umwambie umempa mtoto wa watu mimba kajifungua na hela ya hosipitali laki moja inahitajika fanya hivyo hivyo kwa ndugu wote wanaokuambia hayo maneno.

Wakikutumia fanya mpango uoe wakizungua achana nao
 
Back
Top Bottom