chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 539
- 1,541
Ushauri wadau, eti wanasema wadogo zangu wote wameoa mimi mbona sitaki?! Mpaka baba yangu naye anasema mwaka huu usiishe niwe nimeoa, vinginevyo ataona jogoo hapandi mtungi.
naombeni ushauri wenu.
Mpwayungu Village
naombeni ushauri wenu.
Mpwayungu Village

