USHAURI: Naweza kuomba ajira za Ualimu kwa Shahada hii?

Mijadala Migumu

JF-Expert Member
Apr 17, 2022
288
283
Mimi ni muhitimu wa bachelor degree of Political Science with Education. Miaka minne baada ya kumaliza tuu chuo nilipata kazi katika kiwanda cha biscuits kama supervisor. Ila kiwanda hicho sasa kimefungwa hivi majuzi.

Kwa sasa sina kazi, ila nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa kuna ajira za walimu zinakaribia kuachiwa hivi karibuni.

Je, na mimi mwenye hii degree ya Bachelor of Political Science with Education nitaruhusiwa kutuma maombi kama mwalimu? Maana kuna mtu kaniambia Tume ya Utumishi ya Walimu(TSC) hawanitambui kama mwalimu. Je, hili lina ukweli wakuu. Naombeni muongozo.
 
TSC watanitambua kama mwalimu ndugu? Maana huyu jamaa yeye ananiambia alisoma bachelor of mathematics with statistics, aliomba ajira akapangiwa kituo alivyofika halmashauri TSC wakamtimua kuwa yeye siyo mwalimu
Huyo bwege wa bachelor of mathematics with statistics typically siyo mwalimu kabisa,,ila wewe una element za ualimu,nambie katika kozi zako chuoni ulisoma education phycology?
 
PS with education, umesoma teaching methodogy sawa na Walimu wengine tu. Masomo yako kufundisha ni; Uraia( S/Msingi), civics ( o'level), General study ( a'level) and development study (higher education).
Swali.Umesoma mpaka unamaliza hujui ulichosomea?? Umesomea chuo gani Mkuu.
 
Huyo bwege wa bachelor of mathematics with statistics typically siyo mwalimu kabisa,,ila wewe una element za ualimu,nambie katika kozi zako chuoni ulisoma education phycology?
Ndiyo ndugu yangu, nimesoma hiyo education psychology na kozi nyingine zifananazo na hiyo kama vile principles of education, educational media and technology, curriculum development and evaluation, school management and administration, educational measurements and evaluation, guidance and counseling, history of education, sociology of education, philosophy of education, research methods in education.
 
Ndiyo ndugu yangu, nimesoma hiyo education psychology na kozi nyingine zifananazo na hiyo kama vile principles of education, educational media and technology, curriculum development and evaluation, school management and administration, educational measurements and evaluation, guidance and counseling, history of education, sociology of education, philosophy of education, research methods in education.
Wewe bwege ni mwalimu kabisa ...OTEAS ikifunguliwa fasta ingia kugombania goli and hopeful utapata ajira this time around...!
 
Mimi ni muhitimu wa bachelor degree of Political Science with Education. Miaka minne baada ya kumaliza tuu chuo nilipata kazi katika kiwanda cha biscuits kama supervisor. Ila kiwanda hicho sasa kimefungwa hivi majuzi.

Kwa sasa sina kazi, ila nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa kuna ajira za walimu zinakaribia kuachiwa hivi karibuni.

Je, na mimi mwenye hii degree ya Bachelor of Political Science with Education nitaruhusiwa kutuma maombi kama mwalimu? Maana kuna mtu kaniambia Tume ya Utumishi ya Walimu(TSC) hawanitambui kama mwalimu. Je, hili lina ukweli wakuu. Naombeni muongozo.
kwenye kuomba ajira kuna masomo unachagua ya kufundishia kweny level fulanii....nakuulza wee upo specificlaly masomo yap ambayo umebobea kitaalum utafundishaa....ukiwa nayo bc you are a teacher my friend na omba hizii ajira kwa nguvu zote utapataa
 
Ndiyo ndugu yangu, nimesoma hiyo education psychology na kozi nyingine zifananazo na hiyo kama vile principles of education, educational media and technology, curriculum development and evaluation, school management and administration, educational measurements and evaluation, guidance and counseling, history of education, sociology of education, philosophy of education, research methods in education.
Wewe ni mwakimu kwa 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom