munchamuja
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 350
- 885
Ngapulila
Maana plsNgapulila
Nina mvuaza Mimi nitawaoa waoujiaandae kisaikolojia kuolewa na wagiriki
Heheheheh we jamaa, acha tu!Haaa haaaa.Magu legezaaaaa.we Baba hali sio watu wanaanza kuwaza kujitoa mhanga.Anyway upo baharini upande gani walau nikuletee vichips??
hahaaha alaf unakaa siku5 unajitokeza na njaa siku ya 6 uko kigamboniWe zamia tu Mkuu. Ila nahisi utaibukia Kigamboni.
-Kaveli-
Sikiliza wimbo wa vijana jazz wa miaka ya 80 kabla hujazamia. NgapulilaNipo forodhani hapa napunga upepo mida hii, nimetafuta sijapata bado njaa yaniuma hatari, ghafla naona meli inang'oa nanga.
Wakuu, nataka, nizamie meli niende mbali tuu nisikokujua nikutane na watu nisiowajua nijaribu bahati yangu huko ila sijui ninazamajezamaje melini.
Kwa walio wahi fanya hili jambo nipeni mbinu ili nisikamatwe mana nasikia ukikamatwa unafungwa jiwe zito unatupwa baharini.
-Sent using Jamii Forums mobile app
Za wagiriki zina nini kwanAngalia usizamie za wagiriki
Mashoga mnajitangza sana cku hiziSafari njema ila usisahau lublicant mkuu