babadullah
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 508
- 320
Nipo Forodhani hapa Zanzibar napunga upepo mida hii. Nimetafuta sijapata bado, njaa yaniuma hatari, ghafla naona meli inang'oa nanga.
Wakuu, nataka nizamie meli niende mbali tuu nisikokujua nikutane na watu nisiowajua nijaribu bahati yangu huko ila sijui ninazamajezamaje melini.
Kwa waliowahi fanya hili jambo nipeni mbinu ili nisikamatwe maana nasikia ukikamatwa unafungwa jiwe zito unatupwa baharini.
-Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu, nataka nizamie meli niende mbali tuu nisikokujua nikutane na watu nisiowajua nijaribu bahati yangu huko ila sijui ninazamajezamaje melini.
Kwa waliowahi fanya hili jambo nipeni mbinu ili nisikamatwe maana nasikia ukikamatwa unafungwa jiwe zito unatupwa baharini.
-Sent using Jamii Forums mobile app