- Thread starter
- #21
Nakushauri kwa sababu una weza ingia mtandaoni basi sechi
Kama top range speki zilizopo sasa, usome speki ya hizo topu renji na uanze kuona unajipangia za kivipi
Fanya risechi yako ukinunua ingine usijute
ahsante sana
Nakushauri kwa sababu una weza ingia mtandaoni basi sechi
Kama top range speki zilizopo sasa, usome speki ya hizo topu renji na uanze kuona unajipangia za kivipi
Fanya risechi yako ukinunua ingine usijute
machinga complex zipo za sandy bridge aka 2nd generation ambazo ni latest. wakati nakwenda i5 zilikuwa zimeisha ila machine ya i3 ni 350,000 bei ya kuanzia.
pia i3 kigame inahesabiwa kam core 4 sababu ina hyperthread ila sio powerfull kama i5.
pia kuwa makini epuka processor za 1st generation zote i3/i5 na i7 hazina nguvu sana.
processor na motherboard ndio vinachangia aina ya ram. ukipatia kwenye processor automatic na ram nayo itakuwa nzuri.Na kwa upande wa RAM(maswala ya ddr1,ddr2,ddr3...) na GPU(ambayo latest) je, kuna lolote napaswa kuzingatia ninapokwenda kununua?
kuhusu gpu naweza kujuaje kama inaendana na power supply. je natizama ubora wa gpu na wingi wa watts? au kuna njia nyingine.
ahsante nitatumia njia ya kuangalia namba ya pili. vipi namba ya kwanza kabisa huwakilisha generation au inawekwa kutulisha jambo gani?
da chief upo nondo.
nvidia gtx
740
750
760
780
hapo zote ni version/generation ya 7 ila namba ya pili inaonesha power ya hio gpu. 740 ni ndogo compare na 780
nvidia gtx
740
750
760
780
hapo zote ni version/generation ya 7 ila namba ya pili inaonesha power ya hio gpu. 740 ni ndogo compare na 780
mkuu Chief-Mkwawa mi ngoja nikusanye kama 500k hivi? Mtaa wa Agrey pale k/koo kuna Notebook/Netbook niliziona moja ya Samsung nyingine nimeisahau jina. Zinauzwa 450k. Siku nyingine nikienda ntaangalia na Model namba kisha uichambue kama itafaa kwa shughuli za kuflash simu maana kilichonivutia ni vidogo japo havina CD/DVD ROM sio mbaya kwa upande wangu naweza nunua hata external. Swali langu je, niangalie specs zipi kwa notebook maana napenda yenye speed yenye SSD inaweza kuwa sh. Ngapi? Maana budget yangu ni 450k-600k
kwenye gpu ushanielimisha. hiyo ni timu ya nvidia vp kuhusu watengenezaji wengine?
watengenezaji wengine ni amd ila kutokana na uhaba wa power supply kaa nao mbali sababu gpu zao zinakunywa sana umeme.
nao pia ni kama nvidia angalia namba ya pili
juzi kuna duka magomeni nilipita ana ssd ila hata hazijui kazi yake anaziuza kwa bei maelewano ila unaweza mshusha hadi elfu 80 au 70. anazo sata na msata pia.
ukipata laptop inayosuport msata itakuwa vizuri zaidi sababu utaweza kueka hdd yako na pia utumie ssd.
mkuu Chief-Mkwawa unamaanisha ni Solid State Drive? Naomba unielekeze hilo duka tafadhari nahitaji ya 128GB
Huyu jamaa anatisha,na yupo kuelimisha na kushare akijuacho kwa mapana na marefu. Hana ubanizi wa ideas na knowledges.
Wadau Mimi naomba msaada ...nahitaji laptop kwaajiri ya video editing , gaming , na matumizi mengine ya kawaida . Je! Ipi itanifaa? Sina uzoefu wowote na computer sijawai kumiliki yaani ndo nataka nianze kujifunza ..Asante.