Habari zenu wakuu.
Nimenunua desktop ya dell na naitumia, ila kutokana na specs ndogo (yaani ram 2 GB, 2ghz processor) nakua nashindwa kurun software ambazo zina uhitaji mkubwa sana kama fifa 16, call of duty advanced walfare na software nyingine ambazo nazitumia kwa EDITING.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri je, ninunue processor, video card na RAM nyingine?(RAM ukubwa wa 8GB na processor Quad core i5 na video card ya nvidia) na vifaa hivi vinauzwa wapi??? na je nikifanikiwa kuvinunua inawezekana kupachika kwenye hii desktop?
Ushauri wenu ni muhim wakuu.
Nimenunua desktop ya dell na naitumia, ila kutokana na specs ndogo (yaani ram 2 GB, 2ghz processor) nakua nashindwa kurun software ambazo zina uhitaji mkubwa sana kama fifa 16, call of duty advanced walfare na software nyingine ambazo nazitumia kwa EDITING.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri je, ninunue processor, video card na RAM nyingine?(RAM ukubwa wa 8GB na processor Quad core i5 na video card ya nvidia) na vifaa hivi vinauzwa wapi??? na je nikifanikiwa kuvinunua inawezekana kupachika kwenye hii desktop?
Ushauri wenu ni muhim wakuu.