fieldmashal
Member
- Nov 22, 2015
- 78
- 3
- Thread starter
- #21
Ujinyonge sababu ya chuo! Acha ujinga vumilia ukishindwa tafuta fursa kwanza.
mmmm ahsante kwa matusi mkuu.
Ujinyonge sababu ya chuo! Acha ujinga vumilia ukishindwa tafuta fursa kwanza.
ongea na mkuu wa chuo atajua namna ya kukusaidia
Pole mkuu Mensa wa chuo
Dogo,jaribu kupita kwenye vipindi vya dini ile jioni,waone viongozi wa madhehebu husika hapo udom,waambie matatizo yako then wao watawakonvice waumini wao kukusaiadia walau upate hata pesa ya kula.na hapo udom sijui ni wanafunzi hampendan au vip,inakuaje wenzako wanakuona unakula makombo cafeteria na wao hata hawashtuki kukuuliza kulikoni?
Pambaf! watu kama hawa huw wana dhiki mpaka kwenye ukucha ila wakifika hum full kukejel wenzao nahc we n first year umepata ka boom kanakupa wehu mwenzio unamuona kinyesi pambaf thaana,umeniboaa sn .
pole sna bro ipo siku utaushangaza ulimwengu changamoto n nyingi ktk maisha
Umenikumbusha kuna jamaa yang uwezo wa kutoa msaada alikua nao ila ananiuliza maswal y kejeri maisha vip chuon wakat yeye pia ana mtoto hapa hapa
Nilichomjibu nilimwambia sitaki maswali ya kipuuzi hakuamini kama yale maneno yametoka kinywani kwangu nilijipa matumaini na kusonga mbele kilichobaki namwomba mwenyezi mungu ampe maisha marefu ili aje kushuudia mafanikio yangu najua ntasonga tu mpaka phd
kwa mungu kila kitu kinawezekana
Tatizo acha kuona aibu tena college ya education wanafunzi ni waelewa sana pita kwenye vipindi vya dini mida ya jioni utasaidiwa na pia nenda kwa dean of student akupe barua ya utambulisho unakuwa unapita madarsani unasubiria pindi likisha tuu unaongea mbele za wanafunzi wanakuchangia kuna jamaa angu alishachangiwaga mpaka million 1.5 akaua mwaka kabisa bila shida we fanya hivo hautajuta ndanibya wiki moja hilo tatizo litabaki historia hela ya kula utakuwa ushapata ada utakweoa kwepa uzuri haakatazi watu kufanya mitihana kama haujalipa ada. Fanya ivo ndugu usifikirie kabisa kuacha chuo hiyo ni kosa kubwa sana wanafunzi ni waelewa sana hasa kwenye sehemu za jumuia za kidini za chuo.
Kesho njoo LR7 asb saa 12 kamili hadi na nusu baada ya hapo tunaweza jadiliana kitu, ni inbox jina lako kamili