Ushauri: Napenda sana wanawake wajawazito

Ushauri: Napenda sana wanawake wajawazito

Ndakilawe

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
4,815
Reaction score
2,832
Habarini wadau,

Nimekuwa mhanga wa hii kasumba ya kupenda sana wajawazito yani nikiona mjamzito naweza ahirisha safari na kumpa lifti mpaka anapokwenda afike. mbaya zaidi, natokea kuvutiwa nao kimapenzi, na kuwatongoza.

Kuna mmoja alinishangaa namtongoza vipi wakati ana mimba yaani alinikubalia huku akilia, na kusema toka amepewa mimba hajawahi kufanya mapenzi, coz aliyempa mimba alimkimbia. Mpaka leo nipo naye, soon anajifungua, na watu wanajua ni mimba yangu.

Nipo njia panda maana, akijifungua hanioni tena.
 
Habarini wadau!

Nimekuwa mhanga wa hii kasumba ya kupenda sana wajawazito! Yaani nikiona mjamzito naweza ahirisha safari na kumpa lifti mpaka anapokwenda afike! Mbaya zaidi, natokea kuvutiwa nao kimapenzi, na kuwatongoza!

Kuna mmoja alinishangaa namtongoza vp wakati ana mimba! Yaani alinikubalia huku akilia, na kusema toka amepewa mimba hajawahi kuingiziwa dushelele, coz aliyempa mimba alimkimbia. Mpaka leo nipo naye, soon anajifungua, na watu wanajua ni mimba yangu.

Nipo njia panda maana, akijifungua hanioni tena
ukweli wajawazito ni watamu sana kwenye hiyo game, tabu yao ni kuchoka haraka hata kabla hujamaliza.
 
Habarini wadau,

Nimekuwa mhanga wa hii kasumba ya kupenda sana wajawazito yani nikiona mjamzito naweza ahirisha safari na kumpa lifti mpaka anapokwenda afike. mbaya zaidi, natokea kuvutiwa nao kimapenzi, na kuwatongoza.

Kuna mmoja alinishangaa namtongoza vipi wakati ana mimba yaani alinikubalia huku akilia, na kusema toka amepewa mimba hajawahi kufanya mapenzi, coz aliyempa mimba alimkimbia. Mpaka leo nipo naye, soon anajifungua, na watu wanajua ni mimba yangu.

Nipo njia panda maana, akijifungua hanioni tena.
Nasikia wajawazito wanakuwa na rambo kuwa aiseee
Mm kwa mke wng sitaacha mzigo huo
Ila kama n mimba la mtu mwingine nitafanya
Pregnancy diagnosis(PD)
 
Hauko pekee yako kwenye hili Mkuu, Wanaume wengi katika nchi nyingi dunani huvutiwa sana na wanawake wajawazito. Pia kumbuka wajawazito wengi hunawiri na hivyo kuongeza mvuto wao. Mie nakumbuka mdada mmoja ofisini ilikuwa ni kivumbi na jasho maana kabla ya ujauzito alikuwa ni moto wa kuotea mbali sasa ujauzito ukaongeza mvuto wake mara mbili zaidi na mimba yake ikanipenda lol!

Habarini wadau,

Nimekuwa mhanga wa hii kasumba ya kupenda sana wajawazito yani nikiona mjamzito naweza ahirisha safari na kumpa lifti mpaka anapokwenda afike. mbaya zaidi, natokea kuvutiwa nao kimapenzi, na kuwatongoza.

Kuna mmoja alinishangaa namtongoza vipi wakati ana mimba yaani alinikubalia huku akilia, na kusema toka amepewa mimba hajawahi kufanya mapenzi, coz aliyempa mimba alimkimbia. Mpaka leo nipo naye, soon anajifungua, na watu wanajua ni mimba yangu.

Nipo njia panda maana, akijifungua hanioni tena.
 
Siku mmoja akikukamata na wewe iyo mimba utaibeba kimiujiza maana atakapoiptishia ni kwene tope
 
Nawapenda saana, ila nawaonea huruma,... Maana me napendaga maserekasi
 
Hauko pekee yako kwenye hili Mkuu, Wanaume wengi katika nchi nyingi dunani huvutiwa sana na wanawake wajawazito. Pia kumbuka wajawazito wengi hunawiri na hivyo kuongeza mvuto wao. Mie nakumbuka mdada mmoja ofisini ilikuwa ni kivumbi na jasho maana kabla ya ujauzito alikuwa ni moto wa kuotea mbali sasa ujauzito ukaongeza mvuto wake mara mbili zaidi na mimba yake ikanipenda lol!
Ni kweli wanakuwa hot Kama mbwa bike
Lakin kwa hlo kunawiri inateegemea. Kuna ambao wanakuwa walaini na kunawiri Hawa hata shavu linajaa lakn kuna ambao wanakua vimbambau USO unajaa pimples kibao Kama fenesi kisiran ndan ya Nyumba kuoga kwao ugomvi kuvaa nguo sasa usiseme kila mda anashinda na khanga na kopo la mchanga
 
''...The greatest day in your life and mine is when we take total responsibility for our attitudes. That's the day we truly grow up...”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom