Nakushauri fanya biashara ya kununua mazao kipindi cha mavuno uyauze yakipanda bei. Mfano babati wakivuna mwanzoni kabisa gunia la mahindi ni sh 30000-35000. Baada ya miezi 3 unauza kwa 60000 na kuendelea 80000 Mtaji wako unaruhusu. Ukifungua biashara ya kuajiri mtu hiyo 20000000 wataigegeda yote