TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 23,075
- 9,033
wAKUU,
Naomba ushauri jamani, kuna hawa jamaa wa post paid wametuvamia hapa job wanauza hiyo service kwa tigo na zain... wamejaribu sana ku-market products zao lakini nina wasiwasi na bottom line mwisho wa siku
Kwa wataalam, naombeni upembuzi wenu ili nifanye lililo bora
Na pia kwanini kutoka kwenye post paid inakua vigumu kuliko kuingia?
Naomba ushauri jamani, kuna hawa jamaa wa post paid wametuvamia hapa job wanauza hiyo service kwa tigo na zain... wamejaribu sana ku-market products zao lakini nina wasiwasi na bottom line mwisho wa siku
Kwa wataalam, naombeni upembuzi wenu ili nifanye lililo bora
Na pia kwanini kutoka kwenye post paid inakua vigumu kuliko kuingia?