chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,009
- 20,684
Nashauri bunge limlazimishe mwanasheria mkuu atoe muhtasari wa kesi zote,ndani na nje ya nchi ambazo tumeshtakiwa,na jumla ya kiwango cha madeni yaliyothibitishwa na mahakama na yale yanayosubiri kuthibitishwa na mahakama,na kwa ufupi chanzo cha madeni hayo
Taarifa hiyo isomwe tu kama taarifa,na bunge lisiijadili
Kwa sasa inaonekana kesi hizi ni kichaka cha kuifilisi nchi
Taarifa hiyo isomwe tu kama taarifa,na bunge lisiijadili
Kwa sasa inaonekana kesi hizi ni kichaka cha kuifilisi nchi