David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,676
- 5,217
Habari za mida hii wana JF?
Kuna mfanyakazi mwenzangu hapa ofisini ameniomba ushauri wa matatizo yao ya ndoa yeye na mume wake.
Mume wake ni mfanyakazi wa umma hapa jijini lakini mwaka mpya ulivyoanza hakwenda nyumbani kwake kusherekea na familia yake badala yake alienda kwa kimada.
Alikuwa safari ya kikazi alivyorudi usiku ule wa mwaka mpya hakushinda nyumbani kwake na familia yake alitimka usiku ule ule kwenda kwa kimada kusherekekea mwaka mpya na mbaya zaidi leo hii kamwambia mke wake yupo kwenye kikao cha kikazi kwa mkuu wa wilaya.
Je hivi anavyofanya ni sahihi?
Je mtu kama huyu anayeiacha familia yake katika sikukuu nzito kama hii ya kuupokea mwaka na kupanga mipango ya familia, badala yake anakimbilia kwa mchepuko je nafasi yake katika kijamii ni ipi?
Ni baba anayejitambua kweli?
Naombeni mchango wenu wa kimawazo kumsaidia huyu mfanyakazi mwenzangu coz ameshakata tamaa.
Kuna mfanyakazi mwenzangu hapa ofisini ameniomba ushauri wa matatizo yao ya ndoa yeye na mume wake.
Mume wake ni mfanyakazi wa umma hapa jijini lakini mwaka mpya ulivyoanza hakwenda nyumbani kwake kusherekea na familia yake badala yake alienda kwa kimada.
Alikuwa safari ya kikazi alivyorudi usiku ule wa mwaka mpya hakushinda nyumbani kwake na familia yake alitimka usiku ule ule kwenda kwa kimada kusherekekea mwaka mpya na mbaya zaidi leo hii kamwambia mke wake yupo kwenye kikao cha kikazi kwa mkuu wa wilaya.
Je hivi anavyofanya ni sahihi?
Je mtu kama huyu anayeiacha familia yake katika sikukuu nzito kama hii ya kuupokea mwaka na kupanga mipango ya familia, badala yake anakimbilia kwa mchepuko je nafasi yake katika kijamii ni ipi?
Ni baba anayejitambua kweli?
Naombeni mchango wenu wa kimawazo kumsaidia huyu mfanyakazi mwenzangu coz ameshakata tamaa.