Kwa level hiyo lazima aliwe sana, usimlaumu na endelea kuwa nae na usimfatilie sana utaumia, bado mko kwenye fulish age, mzee mwanamke mpaka afikie kuolewa anakuwa ametembea na wanaume minimum 3 inaweza kuwa zaidi ya hapo, kwaiyo piga moyo konde ilimradi anakupa huduma(papuchi). Ingekuwa ni mke ndo umemkuta ametongozwa alafu akakubali hapo ndo unatakiwa ufanye maamuzi magumu.