Nina mpenz wangu nasoma nae chuo kimoja mwaka wa 1.....tulivyoenda likizo amebadilka sana....hana mda wa kuchat na mimi nikichat nae bas sms tano mwisho anasema kazi nyingi...tulivyorudi likzo nikakuta sms za mapenz kweny sim yake za kutongozwa na amekubali....Lakini amekiri kosa anaomba msamaha nini nifanye wadau wang naombeni ushauri plz