george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,177
- 1,824
- Thread starter
- #101
Unataka ukanichapieWeka Namba yake hapa tumuulize km kweli unampenda huyo Mama huruma Kabila gani?
Unataka ukanichapieWeka Namba yake hapa tumuulize km kweli unampenda huyo Mama huruma Kabila gani?
Nyau weWeka Namba yake mkuu tulipize kisasi kwa kumweka mimba nyingine huyo cha wote
Mzinguaji huyuJamaa anakutania tu
Mimi ni mshauri nasahaKweli imekutokea hii mzee? Tatzo huaminiki
Mfowardie yeye na hawara yake hiyo meseji kutokea kwenye simu yako halafu kaushaMpaka nimeamua kukuandika sijui nifanye nini, mimi ni kijana wa miaka 33 nimeoa na nina mtoto mmoja na sasa hivi mke wangu amekwenda nyumbani kwetu kujifungua na hii ndio sababu ya mimi kuja kukuandikia.
Iko hivi, mimi na mke wangu tulikuwa vizuri sana katika ndoa yetu, ni mwanamke ambaye niliona ananiheshimu na kujali kweli kila mtu anampenda. Hatujawahi kugombana lakini wiki mbili zilizopita alikwenda kujifungua nyumbani kwetu, mimi ndiyo nilimpeleka lakini kurudi nyumbani katika kuhangaika kufanya usafi ndiyo nikakuta kuwa kuna laini ya simu ambayo ilikuwa kama imedondoka.
Nilipanga kuitupa ila nikaamua kuiweka kwenye simu kuangalia. Sikukuta kitu cha maana hivyo nikaamua kuitoa ila kabla ya kuitoa kuna SMS Mbili ziliingia ni kama zile zinasubiri uwashe simu ndiyo ziingie.
Ni meseji za mwanaume ambaye alikuwa akilaumu mke wangu kwa kwenda kwetu kujifungua. Kuna SMS moja ndiyo uliniumiza zaidi, uliandikwa “Mtoto wa kwanza nilihudumia mimba unajifungua mtoto kafanana na huyo mwanaume wako! Huyu wa pili nimekuambia anataka niwe karibu na wewe umeenda kujifungulia kwenu?
Nataka ujue kwamba huyo mtoto kama ni wangu ukirudi namchukua sitaki mwanangu kuishi na huyo Boya!”
Niliiangalia ile namba nikaja kugundua kwamba ni namba ya mfanyakazi mwenzake, nikafuatilia mtandaoni nikajua ni mtu ambaye namfahamu hata kwenye harusi yetu alikuja huyo kaka na wafanyakazi wenzake tena kama familia yake hata ile kutafuta hoteli kwa ajili ya wageni nilitafuta mimi na huyo ni mmoja wao wale ambao alitoa list ya watu wake watakaokuja siku ya harusi.
Sikujibu chochote hizi meseji na mpaka sasa hivi hakijatumwa chochote, nahisi labda mke wangu kamwambia kuwa hiyo laini kashapoteza sijui, ila ninachowaza sasa hivi nifanye nini? Nimekaa na hiki kitu wiki mbili mwenyewe nahisi kuchanganyikiwa kweli najiona kabsai nafanya vitu ambavyo sivyo naomba ushauri nifanye nini?
Alafu ukishamuua unahamia kule kwenye majengo wanakopika Ugali na Maharage Kula na kulala bure?
Na wewe weka Namba ya mkeo apigwe mimba uchekelee kwamba mimba hujabeba wewe kabeba mkeo
Waache tu haoMarahaba Anko! Ushauri wangu ni kwamba, wakati mwingine ukiokota Line ndani itupe ili kujiepusha na kadhia kama hizi,aksante.
Tugee wako tumchapeKwani kamtia mimba mkeo au kakutia wewe sasa wasiwasi wako nini
Sio hivo mkuuNa weee uume huo Moyo wa "kiBOYA" ..Kama ulivyoitwa ... Labda ni BOYA kweli....
Ni kawaidaNina wasiwasi na hilo. Ungekuwa unampenda bado usingemuanika hapa jamvini. Ungegugumia tu na machungu yako. Halafu huko mbeleni kwa vile yule jamaa naye anampenda sana kiasi cha kukuita wewe kuwa ni Boya ni yale ya mauaji yatokanayo na wivu wa mapenzi. Tahadhari kabla ya hatari.
Kweli mkuuBado unaomba ushauri !!? Nenda na hizo meseji ..kamuonyeshe ... Mwambie aende Kwa mumewe wa kazini..fwala Wewe....Magereza hazijaagi .... Utafanya ujinga ukaongeze namba ya wafungwa.
Kweli mkuuBado unaomba ushauri !!? Nenda na hizo meseji ..kamuonyeshe ... Mwambie aende Kwa mumewe wa kazini..fwala Wewe....Magereza hazijaagi .... Utafanya ujinga ukaongeze namba ya wafungwa.
UpiMuombe akupe ndogo kwanza
Sasa kama huna jinsia moja tusemejeNawe boya pia