Kwa mikito yako natokaje kwa mfano!π
Joova tufyire nyambara
Kabiiiiiiiiiisa. Umeona eehh!!πWengine hawana masihara...
mahali kiasi ishaenda mkuu au tukadai?Duuuuh kimbia taratibu pipa hilo usije ukaanguka
Aache uboya mwanamke wa hivyo ana raha yake
Kwahyo unataka mke wako ndo apige kazi,we ukiwa unafanya nini?Wapo vizuri sana. Nimeishi kwenye jamii zao zaidi ya miaka minne, ni wavumilivu sana kwenye ndoa, wanapiga sana kazi nk.
Kweli kabisa.Wapo vizuri sana. Nimeishi kwenye jamii zao zaidi ya miaka minne, ni wavumilivu sana kwenye ndoa, wanapiga sana kazi nk.
Kwanza kazi wanazofanya mke wangu hawezi kufanya kama nikifanikiwa kuoa.Kwahyo unataka mke wako ndo apige kazi,we ukiwa unafanya nini?
mahali imeshalipwa nusu kiongozi sio yoteWe nae hujakua vizuri yaani ushalipa mahali afu ndo unakuja kuomba ushauri ili iweje? Ukadai au?
Anyway weka ndani hana shida huyo na utashukuru siku 1 hawana shida hao na hakuna mkamilifu!
mkuu hapa inazungumziwa ndoa ile ya milele sio ya ile ya sheheWe oa!yakikushinda mnakaa pembeni!hakuna ndoa isiyovunjwa!!
sikuiz si 50/50 au?Kwahyo unataka mke wako ndo apige kazi,we ukiwa unafanya nini?