Ushauri mashamba ya miti??

Ushauri mashamba ya miti??

Artery

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
67
Reaction score
52
Nina wazo la kuinvest kwenye mashamba ya miti ya mbao au milingoti, mwenye uzoefu kwenye sekta hii naomba ushauri namna ya kuanza, gharama za mwanzo hasa kwa anaenza small scale maeneo ya iringa na tanga please nijuze
 
Back
Top Bottom