Ushauri: Makanisa yaanze kulipa kodi TRA

Ushauri: Makanisa yaanze kulipa kodi TRA

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,617
Reaction score
3,680
Ili kuongeza dhana ya uwajibikaji na uchungu kwa nchi, nashauri Makanisa yote Tanzania yaanze kulipa kodi ya mapato TRA ili kuongeza pato la taifa.
 
Na Misikiti nayo ilipe pia ila wenye Makanisa watakakuwa na haki ya kuhoji matumizi ya Pesa ndio itakuwa mwanzo wa Udini
 
Back
Top Bottom